The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
ma-ramp yaleeee....uwanja wa kishamba huu badala ya airbridges kitu kina ramps kama za warehouse!
Unasemaje sio power rationing wakati tanesco wenyewe wanasema hivyo? Do you know better than tanesco? Shida ya umeme mmekuwa nayo tangu jadi coz even your production level is way below for a country of 60 million people. Hata sisi tunagenerate umeme nyingi kuwaliko. Sijui zile electric train zenu mtatumia makaa kuziendesha ama mtazisukuma kama mwendo ni huu wa power rationing!ni haki wakenya kutunanga kuhusu suala la umeme.. tatizo lililopo saiz sio power rationing.. ni uongozi uliopo! inakera ila basi tu.. nasubir 2025 nione mambo yatakavyokuwa
Umesahau social classes za Sukumagang sio? kupewa miradi ya taasisi za kitaifa kuifanya level ya Halmashauri kinyume na sheria za nchi? Umesahau watu waliporwa fedha na sukumagang na hat hazikuingizwa serikalini, ule si ujambazi? Dotto James atueleze fedha za Bureau de Change zilizofungwa zilienda wapi? Mbona hamna records?Sikutaka kuchangia hii mada ila quotes zako zimenilazimu.
Mimi siyo mshabiki wa siasa na sizikubali siasa za bongo ila unapotaja viongozi huwezi sema mama samia ni kiongozi,shika adabu yako unakosea viongozi.
Unapokosea pakubwa ni kumfananisha huyo mama mbulula na Mheshimiwa Magufuli.
Magufuli alikua mtu aliyeweka nidhamu kazini,Magufuli ni mtu aliyeua social classes,Magufuli alikua ni mtu aliyeweka morali ktk kuchapa kazi,Magufuli ni mtu ambae aliangalia wananchi kwanza kuliko kingine,Magufuli ni kiongozi ambae alionesha mfano kuwa ukisema unatakiwa kutenda,Miradi mingi aliiweka ktk utekelezaji na ikawa inatekelezwa na inaenda kwa kasi.
Leo hii mama yenu mvaa ushungi ona anavyoizorotesha miradi,nidhamu ya kazi imeondoka kabisa ktk mashirika ya umma ya kiserikali,social class zimerudi,ukandamizwaji wa wanyonge hususan (wafanyabiashara wadogo wadogo)umerudi tena.
Nani ameuzorotesha uchumi kati ya Marehemu na Mama yenu mjambiani??
Embu kuweni na heshima msimfananishe Magufuli na vitu vya hovyo hovyo .
Hapo Unajidanganya mwenyewena ujue arusha ndo mji wa pili tz na sio mwanza. hio ni fact. japo Geza Ulole na Fundi kitasa watapinga👇🏽 View attachment 2098984
I realized your Intelligent Quotient is abit low,so I'll decide to just ignore your reply.ma-ramp yaleeee....uwanja wa kishamba huu badala ya airbridges kitu kina ramps kama za warehouse!
Unatamani ingekuwa hivi lkn ndio haiwezekani kukuwa hivi (in makenya voiceHawa vilaza hutia huruma sana. Yani mtu anafurahia serikali kumpa naibu waziri gari ya kifahari wakati wananchi wanapata stima kwa mgao. Sasa hiyo gari kubwa aliyopewa huyo waziri inasaidiaje mtanzania ambaye kesho na keshokutwa hatakuwa na stima coz of power rationing occassioned by the same leader in that fuel-guzzler? Akili ya kitanzania sijui inareason aje!





)until unanionyesha ramps kwa modern international airports! Kwani mnapitisha ngamia ama? Truth to be told, Design ya uwanja wenu ni Medieval era!I realized your Intelligent Quotient is abit low,so I'll decide to just ignore your reply.
Nasikia Kenya kuna ukabila? Kumbe sukumagang nayo ipo! 😂 😂 maajabu ya MusaUmesahau social classes za Sukumagang sio? kupewa miradi ya taasisi za kitaifa kuifanya level ya Halmashauri kinyume na sheria za nchi? Umesahau watu waliporwa fedha na sukumagang na hat hazikuingizwa serikalini, ule si ujambazi? Dotto James atueleze fedha za Bureau de Change zilizofungwa zilienda wapi? Mbona hamna records?
Stop embarrassing yourself.So you want all the planes to be at the airbrigde at the same time🤔Ndege mbili, mko hoi kweli kweli![]()
Just zoom in the picture my brother and stop sweating.until unanionyesha ramps kwa modern international airports! Kwani mnapitisha ngamia ama?
Kenya ni jalala la mavi msee.Kisumu. Cleaner than anything in Tz.
Mbona kwa kukana vitu tushwazoea? Denial is in your DNA bongolalas. Sasa wewe unakana mgao haipo wakati tanesco who are responsible for your country's power generation, wanasema rationing ipo. Sasa wewe hapo Tandale unajua kuliko viongozi wa tanesco?Unatamani ingekuwa hivi lkn ndio haiwezekani kukuwa hivi (in makenya voice)
Tz hakuna power rationing na haitokuja kutokea, hilo suala la power rationing lilikuwepo enzi za Kikwete na Mkapa cz enzi hizo kulikuwa na upigaji (hasa enzi za Kikwete) wala hakukuwa na uhaba wwt kupelekea power rationing, kinachotokea kwa ss ni watu fulani bado wanataka kufidia ufisadi walioukosa enzi za Magu na hawatoweza nisikilize mm.
Hivi hiki kijiji cha Kisumu kina bridges kweli?Kisumu village centerView attachment 2098969vs Chuga City center
View attachment 2098971View attachment 2098973View attachment 2098976
Kwa hizo clear photos hapo juu, unafkiri Kisumu Ina qualify city status.?![]()
What's your point exactly Mr degree holder?
Galilaya.
Mr degree, miradi kama hii yamejaa Nairobi. Hizi boxes na dormitories are everywhere you look in Nairobi. Yani Ni mambo tumezoea huku Nairobi coz yalianza kitambo. But we understand why it's a big deal uko kwenu
so unabisha hamna ramps za kishamba? Mnabeba nini kwenye hizo ramps? flying toilets?Just zoom in the picture my brother and stop sweating.
Bridges zimechoka, wanatumia hayo madude ku board abiria, very outdated airport.ma-ramp yaleeee....uwanja wa kishamba huu badala ya airbridges kitu kina ramps kama za warehouse!