Ni Loliondo to Mto wa Mbu, Longido kuelekea wapi sasa?China wuyi wanatengeneza barabara from loliondo i think kuelekea longido, lakini barabara ya mpaka mto wa mbu ni vumbi tu
Sasa cha ajabu na hiyo structure ni ipi? Ivi mbona ninyi ni malimbukeni mno, mkiona tu kastructure kameelevate hata meters 3 juu basi ni unusual and need extra attention 😂😂😂🚮🚮Thus is mbita some village in Nyanza but see the road then you get a full man here from Tanzania talking about flyovers 🤦🏿♂️ things that now even village roads get .. sometimes I pity and question if we really doing the right thing hereView attachment 2079791
Hili ndio jiji Wabongo wanataka kulinganisha na Mwanza. Watu ni wagonjwa. Hivi Mwanza kuna dual carriageway hata? 🤣🤣Super highway iko na zebra eti kusubiria magari kuingia na kutoka alafu eti kuna round about katika kila service lane
Upuuzi mtupu...
Waje msa wa take notes!!hakuna bugdha, unaingia na kutoka wakati wowote kwenye highwayView attachment 2079328
JamiiForums mobile app
kadogo sana......View attachment 2079728 tumewashika leo burukenge nyinyi... kumbe dar ni mji mdogo saana.. i thought it was much bigger than this!..
i swear in the name of god that i can take less than 5mins to count all buildings in dar that stand 10storeys or more.. na dar yote kwisha!.
nairobi yote utahesabu hadi kesho
usishangae, barabara za lami ni chache mno dar.Part kubwa ni uswazi na vumbiMadajaraja saba pekee kwa jiji la watu milioni sita ni aibu.
Outering road pekee inayo 11 na ni barabara ya 13km pekee.
Sijataka kumvunja moyo jamaa yako...fuatilia points zake zinakuja zinakataa hivi...haelewekiIla ninyi wawili I suspect ni mtu mmoja, mnajazana ujinga weee na kusapotiana,na inaonekana hata hamjawi toka hapo mlipo
Hivi kuna mtu mwenye akili kweli anaweza kusema hii mikoa Kigoma yote kwenda Kagera,Tabora,Katavi ni vumbi tupu.
Mbeya to Singida,Tabora vumbi tupu,Arusha to Mara,Simiyu vumbi tupu, Morogoro to Njombe,Ruvuma vumbi tupu?
Hii mikoa napita kila leo, yaani mpaka namuonesha jamaa yangu hapa tunakauka kucheka![]()
izo hata haitoshei iitwe chuom 😂😂Hapa Kenya hicho huwa tunaita Kichorochoro. 🤣🤣
This problem was sorted within 3 hrs. Msidhani Kenya ni Tanzania.Mimbwa hii Ilikua ikicheka mgao wa umeme kwa masaa kumi na mbili DSM .. now uko kwao kuna mbwa siku ya tatu leo zinalala gizani 😂😂😂
Ni maendeleo kama hizo hamna ndio maana tunazitaja. Mbona makasiriko?Sasa cha ajabu na hiyo structure ni ipi? Ivi mbona ninyi ni malimbukeni mno, mkiona tu kastructure kameelevate hata meters 3 juu basi ni unusual and need extra attention 😂😂😂🚮🚮
Ushamba mzigo
Maendeleo ya kujaza kifusi barabara iinuke mnayo ila ya chakula mpaka mnakufa njaa hamna?Ni maendeleo kama hizo hamna ndio maana tunazitaja. Mbona makasiriko?
basi hiko ndicho walichozidi na huu ndiyo ukweli mbali na hapo hakuna kitu nairobiMzee sehemu inayookana kwenye picha hapo ni posta tu, na hakuna CBD hata moja NAIROBI ambayo iko na ukubwa sawa na posta. Vipi we ulisema mwaka huu utakua mtu mwema, lakini naona bado hujawa mwema, kazi yako ni ileile kusema uongo.. Kariakoo ni kubwa kuliko CBDs zenu zote tatu combined baba .. nje ya CBDs zenu kuna kipi cha maana zaidi ya apartments mzee.? na hicho ndio kitu mnatupiga gape, ila sio kwa ukubwa wa financial district kaka, battle mnayotuzidi nyinyi ni wingi wa real estate tu..
upanga hujaonyesha.Mbona serikali inashindwa kunyosha njia ili ni tatizo la kipumbavu sana kwanini saerkali inashindwa kuchora mstari mnyoofu kwenye barabaramaana hayo maeneo bado ayajajengeka tazama hata hizo njia za vumbi zilivyo pinda pinda kama minyooo
Deni la Kenya limezidi la Tanzania mara 3.5This man ate 105 $ billion all alone 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa ground, mtambo wa buzaa 😆😆😆
View attachment 2079741View attachment 2079742
kigali vs nairobi
CBD😂😂😂😂😂