chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Nairobi inapigwa na Dodoma sababu Dom ina estates nyingi za maana lakini Nairobi ina slums nyingi kuliko estates za maana kitu ambacho Dodoma hainaMtu akusaidie na maziwa hii bangi ni mingi
Nafikiri umejionea pia namna Watanzania walivyowapita kimaisha, mitaa ni ya watu wa kawaida lakini kuna nyumba nzuri ambazo ni chini ya 10% ya Wakenya wanaweza kumiliki

Waste of taxpayers money. Yani highway imejaa level crossings, lanes hazina upana na barabara imejaa vilima na sharp turns so itakua na jam always. Ata ikue 20 lanes kila upande with level crossings ni bure tu maana itabidi magari yanangoja kuingia highway au watu kuvuka badala ikue express.
