Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,154
- 29,771
Uchumi umedondoka kabisa wanadanganya eti TRA imekunya mapato makubwa wakati ukweli tunaujua hata mishahara itakuwa ngumu kupandisha pesa hakuna makusanyo yameporomoka kwa nusu na akiba ya pesa za kigeni ya kweli ni $3.1BL tuMpumbavu huyu mama.
Hana akili ya biashara!


20 years back.?
.. pengine alikuwa hajui mradi unafananaje.. $102m (almost 250b) na nyingine kutoka serikalin kwa ajili ya huo mradi sio hela ndogo