The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Shirika linaliegemea sana serikal kuu,linajiendesha kwa hasara ,ufike muda hawa wanasiasa waache ubinafsi kidogo...black iwe black na white iwe white,wawaache wataalam waendeshe hayo mashirika kiufanisi...tatizo akija fulani kwasababu anataka umaarufu anatwist bei Anasogeza ule mzigo sehemu B mwisho wa siku wanaishia kukopa mikopo uko nje...Tsh 27,000/= is no more
Gharama kuunganishwa kupanda
Shirika linaliegemea sana serikal kuu,linajiendesha kwa hasara ,ufike muda hawa wanasiasa waache ubinafsi kidogo...black iwe black na white iwe white,wawaache wataalam waendeshe hayo mashirika kiufanisi...tatizo akija fulani kwasababu anataka umaarufu anatwist bei Anasogeza ule mzigo sehemu B mwisho wa siku wanaishia kukopa mikopo uko nje...
Wataalam hawanaheshimiwi nchi hii kila kitu ni siasa!!
SSH anabreak huo upuuz taratibu najua kuna watu hapa mtapinga lakini ndio hakuna namna
Huwa wanadhani wako west Africa huko kwa hiyo hatuelewi kinachoendelea kenya failed state.Si walituambia hata BRT walijenga miaka 10 iliyopita mbwa hawa![]()



Cku Africa ikijla kustuka kwamba Pesa yote ya maendeleo inaishia bungeni basi dunia itakuwa ina miaka mingi sana.mawazo yako yaheshimiwe.. lkn serikali inayoweza kulipa posho ya wabunge wanaolala bungeni kwann ishindwe kulipa gharama za kuunganisha umeme kumsaidia mwananchi kupata umeme?
mbunge mmoja posho yake kwa siku ni zaidi ya laki tatu! kwa siku laki tatu!!!! kwa wabunge zaidi ya 300 je? ni ngap hapo kwa siku? kwa siku 12 je? kwa siku 12 nyingine nne nne (vikao vinne kwa mwaka) je? unapata ngap?? sasa kumsaidia mtu mmoja mmoja kuunganisha huo umeme ndo wanaona mzigo mkubwa?
mahesabu ni simple tu.. serikali igharamie sijui kununua nguzo.. sijui mafuta ya gari (hapa wao wenyewe tu wanakula mafuta kuzungukazunguka)
au wakafanya research wanatumia kiasi gan kununua nguzo sijui mafuta sijui vifaa kwa mwaka mmoja.. hio hela wakaiweka kwenye budget ya nchi kbsa.. kama kuna budget ya posho za wabunge.. budget ya kusaidia kuunganisha umeme wanaona ni mzigo? huu ni uzwazwa!
kiufup hili suala haliko sawa.. kupata wateja wengi wa umeme kwa kuwalipisha zaidi ya 300k wasahau.. na umeme utapotea mwingi katikat
Sasa nikuulize brother ,serikali inajenga bwawa kwa trillion 6.9 pesa nyingi sana iyo...bado ikuletee huo umeme bure au kwa izo gharama na mita na nyaya nakilakitu...mawazo yako yaheshimiwe.. lkn serikali inayoweza kulipa posho ya wabunge wanaolala bungeni kwann ishindwe kulipa gharama za kuunganisha umeme kumsaidia mwananchi kupata umeme?
mbunge mmoja posho yake kwa siku ni zaidi ya laki tatu! kwa siku laki tatu!!!! kwa wabunge zaidi ya 300 je? ni ngap hapo kwa siku? kwa siku 12 je? kwa siku 12 nyingine nne nne (vikao vinne kwa mwaka) je? unapata ngap?? sasa kumsaidia mtu mmoja mmoja kuunganisha huo umeme ndo wanaona mzigo mkubwa?
mahesabu ni simple tu.. serikali igharamie sijui kununua nguzo.. sijui mafuta ya gari (hapa wao wenyewe tu wanakula mafuta kuzungukazunguka)
au wakafanya research wanatumia kiasi gan kununua nguzo sijui mafuta sijui vifaa kwa mwaka mmoja.. hio hela wakaiweka kwenye budget ya nchi kbsa.. kama kuna budget ya posho za wabunge.. budget ya kusaidia kuunganisha umeme wanaona ni mzigo? huu ni uzwazwa!
kiufup hili suala haliko sawa.. kupata wateja wengi wa umeme kwa kuwalipisha zaidi ya 300k wasahau.. na umeme utapotea mwingi katikat
Hizo 6.9(7tr) zimetoka wapi? Kwa wananchi au?Sasa nikuulize brother ,serikali inajenga bwawa kwa trillion 6.9 pesa nyingi sana iyo...bado ikuletee huo umeme bure au kwa izo gharama na mita na nyaya nakilakitu...
Wanyooshe maelezo tu hakuna bure bure hayupo tujue moja,hatuwez kuendelea bila mipango
Hizo 6.9(7tr) zimetoka wapi? Kwa wananchi au?
Atlanta ndio kuna pori?
New year new projects.
Uzi umekua wa kisiasa sana mpaka unaboa,kuna watz humu wanadiss kila akifanyacho mama!huo umeme wa elfu 27 kuna watu toka june wameomba umeme na hawajapata,kuna sehemu mama anakosea lakini kuna sehemu yuko sahihi,hata magu kuna sehemu alikua anakosea kama kibinadamuShirika linaliegemea sana serikal kuu,linajiendesha kwa hasara ,ufike muda hawa wanasiasa waache ubinafsi kidogo...black iwe black na white iwe white,wawaache wataalam waendeshe hayo mashirika kiufanisi...tatizo akija fulani kwasababu anataka umaarufu anatwist bei Anasogeza ule mzigo sehemu B mwisho wa siku wanaishia kukopa mikopo uko nje...
Wataalam hawanaheshimiwi nchi hii kila kitu ni siasa!!
SSH anabreak huo upuuz taratibu najua kuna watu hapa mtapinga lakini ndio hakuna namna
Hahahaha, hii sio "Protectionism of Business?", Kenya huwa mnadai kwamba mnajua biashara kwahiyo hamuhitaji serikali yenu kuwalinda wakulima na viwanda vya ndani?Nchi ya MabepariView attachment 2069731




Yaachwe yote tu TRC, ATC, shirika la meli nk.Shirika linaliegemea sana serikal kuu,linajiendesha kwa hasara ,ufike muda hawa wanasiasa waache ubinafsi kidogo...black iwe black na white iwe white,wawaache wataalam waendeshe hayo mashirika kiufanisi...tatizo akija fulani kwasababu anataka umaarufu anatwist bei Anasogeza ule mzigo sehemu B mwisho wa siku wanaishia kukopa mikopo uko nje...
Wataalam hawanaheshimiwi nchi hii kila kitu ni siasa!!
SSH anabreak huo upuuz taratibu najua kuna watu hapa mtapinga lakini ndio hakuna namna
Mimi ingesomeka vizuri kwangu kama wangeweka flat rate., 27,000 vijijini na may be 100,000 "mjini.mawazo yako yaheshimiwe.. lkn serikali inayoweza kulipa posho ya wabunge wanaolala bungeni kwann ishindwe kulipa gharama za kuunganisha umeme kumsaidia mwananchi kupata umeme?
mbunge mmoja posho yake kwa siku ni zaidi ya laki tatu! kwa siku laki tatu!!!! kwa wabunge zaidi ya 300 je? ni ngap hapo kwa siku? kwa siku 12 je? kwa siku 12 nyingine nne nne (vikao vinne kwa mwaka) je? unapata ngap?? sasa kumsaidia mtu mmoja mmoja kuunganisha huo umeme ndo wanaona mzigo mkubwa?
mahesabu ni simple tu.. serikali igharamie sijui kununua nguzo.. sijui mafuta ya gari (hapa wao wenyewe tu wanakula mafuta kuzungukazunguka)
au wakafanya research wanatumia kiasi gan kununua nguzo sijui mafuta sijui vifaa kwa mwaka mmoja.. hio hela wakaiweka kwenye budget ya nchi kbsa.. kama kuna budget ya posho za wabunge.. budget ya kusaidia kuunganisha umeme wanaona ni mzigo? huu ni uzwazwa!
kiufup hili suala haliko sawa.. kupata wateja wengi wa umeme kwa kuwalipisha zaidi ya 300k wasahau.. na umeme utapotea mwingi katikat