Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii project ndio itafanya dar kuwa ya kimataifa...a park and half a dozen storeys....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂 Pole sana unaujua mto Msimbazi kwa eneo la mjini kati ulilopo una ukubwa sawa na CBD zenu zote tatu combined na chenchi inabaki.?, redevelopment itakayo fanyika hapo ni kuondoa zile unplanned settlements na kuweka chuma mpyaaaa za kuzidi, nyumba elfu kumi 😂😂😂, pamoja daraja jipyaa (Flyover) 2 km .. mbona tunawanyorosha sana
 
its good you are doing what has been happening in kenya 20 years back......
 
its good you are doing what has been happening in kenya 20 years back......
😂😂😂 Kwamba mlishawahi kufanya renovation, na kujenga mto na makazi y watu kwa Uzuri kabisa.? 😂😂😂 Yani kama hivi 👇20 years back.?
SHL_Architects_Ningbo-Home-of-Staff_Aerial-April-18_02-1170x877.jpg
ambavyo sisi tutafanya hapa 👇
Msimbazi10.png
images - 2022-01-05T163827.018.jpeg
😂😂😂 haya heb tuonyeshe hilo eneo uko kwenu..
 
Back
Top Bottom