Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Tunapiga miguu yote yote mzee..Wakati wakiwa wanapigwa na Dodoma wakigeuka wanakutana na eneo la kitalii la msimbazi![]()
Tunapiga miguu yote yote mzee..Wakati wakiwa wanapigwa na Dodoma wakigeuka wanakutana na eneo la kitalii la msimbazi![]()
si mmalize the 10 flats za kigamboni zile zimemea nyasi ndio muanze kuchora ndoto za abunwasi 😂😂🤣🤣🤣
Hapo hakuna raisi ....ni jamii ya wale VIBWENGO AMBAO FULSA KWAO NI TATIZO YAANI KILA NEEMA TULIYO NAYO WANAIGEUZA TATIZO ,Huyu Rais wenu mm bado sielewi kabisa.
Huyo ni Opportunity CostWewe ChoiceVariable huwa ni msenge sn wewe.
Hako ni kasehemu tu, project inafanyika kwenye eneo la wakaazi zaidi ya 500k so you can imaginetuki,tuta,tuna .....lol.sasa hii project ndogo ndio big deal yawa
hehehe.......what a joke.....si mbomoe those uswazi villages covering 98% of dar kwanza.......the reverse thinking that tanzanians apply is beyond helpProject ndogo inayo cost karibu $1b, we una wazimu?
hehe.......mmeishiwa sasa ni kuleta ndoto za abunwasi 🤣🤣🤣Hako ni kasehemu tu, project inafanyika kwenye eneo la wakaazi zaidi ya 500k so you can imagine
Si ulisema ni project ndogo? Akili imekukaa sawa nowsi mmalize the 10 flats za kigamboni zile zimemea nyasi ndio muanze kuchora ndoto za abunwasi![]()











Tunajua mnaumia ila vumilieni soon tutaanza kuwa tunatumia mafuta ili msiwe mnaumiahehehe.......what a joke.....si mbomoe those uswazi villages covering 98% of dar kwanza.......the reverse thinking that tanzanians apply is beyond help











😂😂😂 Pole sana unaujua mto Msimbazi kwa eneo la mjini kati ulilopo una ukubwa sawa na CBD zenu zote tatu combined na chenchi inabaki.?, redevelopment itakayo fanyika hapo ni kuondoa zile unplanned settlements na kuweka chuma mpyaaaa za kuzidi, nyumba elfu kumi 😂😂😂, pamoja daraja jipyaa (Flyover) 2 km .. mbona tunawanyorosha sanahii project ndio itafanya dar kuwa ya kimataifa...a park and half a dozen storeys....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bado ajapigwa na kitu kizito evi juti huyo lazima akumbuke rojoIla mama Kawa Jasiri nowadays!
bagamoyo port iko wapi 🤣🤣🤣Bado ajapigwa na kitu kizito evi juti huyo lazima akumbuke rojo
Usichokijua ni kwamba watu walishaanza kulipwa fidia, na zoezi la ulipaji wa fidia lipo ukingoni kukamilika, tegemea anytime soon mkandarasi kukabidhiw eneo kwaajili ya mradi kuanza .. inauma eeh.?😂😂😂hehe.......mmeishiwa sasa ni kuleta ndoto za abunwasi 🤣🤣🤣
Hapo ni MAGUFULI LEGACY VS KIBWENGOR.I.P Magufuli
Huitaji nguvu nyingi kugundua wivu alionao.Si ulisema ni project ndogo? Akili imekukaa sawa now![]()



Nikweli kabisa mimi na vibwengo mbali mbali nilimchapa makofi mtoto wa raisi yule muuza ngadaWe itakua umetumbuliwa aisee, manake kw akili hzo sio bure ungelikuja hata kulipua nchi mr.genius
😂😂😂 Kwamba mlishawahi kufanya renovation, na kujenga mto na makazi y watu kwa Uzuri kabisa.? 😂😂😂 Yani kama hivi 👇20 years back.?its good you are doing what has been happening in kenya 20 years back......
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣oh my.....this is pure comedy😂😂😂 Kwamba mlishawahi kufanya renovation, na kujenga mto na makazi y watu kwa Uzuri kabisa.? 😂😂😂 Yani kama hivi 👇20 years back.?View attachment 2069564ambavyo sisi tutafanya hapa 👇View attachment 2069565View attachment 2069566😂😂😂 haya heb tuonyeshe hilo eneo uko kwenu..
Roho inakudunda na huamini kinachotokea 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣oh my.....this is pure comedy