Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

this is the problem with populist leaders like magufuli....at some point populist ideas have to reconcile with financial realities and that's where the whole thing falls apart.

simply put, mama is making the hard decisions that are REQUIRED!!!!

this whole debt debate you guys are having is a red pill moment for Tanzania that magufuli was shielding you guys from.

I think you should focus on Jubilee affairs, especially when you are going for elections this year, and we pray that you don’t slaughter each other in dozens the way you always do.
 
nakuonesha vile zilivyozagaa tanzania ni gari za kawaida sana huku
Mi hata hazinishtui, km mkesha wa mwaka mpya nlikua malindi na bado nkaona watu wana roll nazo..
Sio big deal sana, kuna wengine hvyo vyuma wanachukua kila toleo jipya kwhyo usishtuke sana
 
I think you should focus on Jubilee affairs, especially when you are going for elections this year, and we pray that you don’t slaughter each other in dozens the way you always do.
what-if-i-told-you-yous-a-bitch-ass-dude.jpg
 
I bet kwenye hii project kutakuwa na facelift ya CBD na other strategic places in Dar to give it a real metropolitan look. God Bless Our Beautiful Country.
Hehehe, naona mmeanza kutumia neno metropolitan. Tukiwaambia what Nairobi metropolitan is mlikuwa mnajifanya hamuelewi kumbe ni wivu tu. Huwa mmekazana sana eti Nairobi ni 696 sq.km while Dar ni 1500 sq.km
 
I bet kwenye hii project kutakuwa na facelift ya CBD na other strategic places in Dar to give it a real metropolitan look. God Bless Our Beautiful Country.
Litajengwa
1. Daraja kubwa sana
2. Biggest city park in Sub-Saharan Africa
3. Housings capable of taking more than 10000 residents
4. New river banks and basins
5. Multiple playing grounds
6....
7....
...
 
Back
Top Bottom