Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hehehe, naona mmeanza kutumia neno metropolitan. Tukiwaambia what Nairobi metropolitan is mlikuwa mnajifanya hamuelewi kumbe ni wivu tu. Huwa mmekazana sana eti Nairobi ni 696 sq.km while Dar ni 1500 sq.km
Haujui chochote kuhusu huu mradi ni bora unyamaze tu.
 
Hehehe, naona mmeanza kutumia neno metropolitan. Tukiwaambia what Nairobi metropolitan is mlikuwa mnajifanya hamuelewi kumbe ni wivu tu. Huwa mmekazana sana eti Nairobi ni 696 sq.km while Dar ni 1500 sq.km
Kaa mkao wa kuwehuka

Msimbazi3.png
BRT9-768x445.png
Msimbazi10.png
 
Hehehe, naona mmeanza kutumia neno metropolitan. Tukiwaambia what Nairobi metropolitan is mlikuwa mnajifanya hamuelewi kumbe ni wivu tu. Huwa mmekazana sana eti Nairobi ni 696 sq.km while Dar ni 1500 sq.km

Sikiliza wewe Mtembezi wa Nairobi usiye na sehemu ya kulala, huu mradi unaitwa Dar es Salaam Metropolitan Development Project (DMDP) sasa kwanini tusitumie neno Metropolitan? Dar ni Metropolitan Kitambo na sasa tunaifanyia re-development kuendana na hali ya sasa. Sema sisi hatuna mambo yenu ya kishamba ya sijui ultra modern what what. Kumbe Baba yako aliuza ng’ombe kupeleka ngo’mbe nyingine shule? Bure kabisa
 
Hii bro itawaumiza sana mioyo yao,mana ukiichukua Upanga, Posta, Kk, ilala together with new Msimbazi dvt area Dar itakua mji wa kipekee kabisa EA, tunazungumzia miji zenye muonekano wa kidunia kabisa
hii project ndio itafanya dar kuwa ya kimataifa...a park and half a dozen storeys....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
27,000 itasalia Vijijini yaani umeme wa REA,Rais alichokikataa ni uongo wa kusema Umeme Nchi nzima utaunganishwa kwa 27,000 huu ulikuwa uongo wa Karne usitake kuleta upotoshaji.

Rais wa Sasa sio mwongo mwongo kama yule,ndio maana hata juzi Ali admit kupanda Kwa bei ya vitu na sababu kaweka.

Mwisho hamia Turkey mkuu maisha ni simple sana

View attachment 2068703
Wewe unatembea na akili zakinafiki mbona ukusema siku za nyuma kuwa ni uongo?
 
Back
Top Bottom