this is the problem with populist leaders like magufuli....at some point populist ideas have to reconcile with financial realities and that's where the whole thing falls apart.ni opportunity cost huyo mpotezee!..
mim niko TANESCO..naelewa kila kitu kwenye hizo ishu... sasa ishu sio uhalisia wa gharama ya kuunganisha umeme.. ishu ni serikali inakwepa jukumu lake la kumsaidia mwananchi kuunganishwa umeme.. yan iko hiv.. kama gharama ni laki moja.. serikali iseme mwananchi lipa 27k then serikali italipa 73k ili uunganishwe umeme.. lkn serikali hii inakimbia hili jukumu.. mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers
simply put, mama is making the hard decisions that are REQUIRED!!!!
this whole debt debate you guys are having is a red pill moment for Tanzania that magufuli was shielding you guys from.