Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ni opportunity cost huyo mpotezee!..
mim niko TANESCO..naelewa kila kitu kwenye hizo ishu... sasa ishu sio uhalisia wa gharama ya kuunganisha umeme.. ishu ni serikali inakwepa jukumu lake la kumsaidia mwananchi kuunganishwa umeme.. yan iko hiv.. kama gharama ni laki moja.. serikali iseme mwananchi lipa 27k then serikali italipa 73k ili uunganishwe umeme.. lkn serikali hii inakimbia hili jukumu.. mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers
this is the problem with populist leaders like magufuli....at some point populist ideas have to reconcile with financial realities and that's where the whole thing falls apart.

simply put, mama is making the hard decisions that are REQUIRED!!!!

this whole debt debate you guys are having is a red pill moment for Tanzania that magufuli was shielding you guys from.
 
ni opportunity cost huyo mpotezee!..
mim niko TANESCO..naelewa kila kitu kwenye hizo ishu... sasa ishu sio uhalisia wa gharama ya kuunganisha umeme.. ishu ni serikali inakwepa jukumu lake la kumsaidia mwananchi kuunganishwa umeme.. yan iko hiv.. kama gharama ni laki moja.. serikali iseme mwananchi lipa 27k then serikali italipa 73k ili uunganishwe umeme.. lkn serikali hii inakimbia hili jukumu.. mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers
Jana nlikua namsifia ila leo daah katoa Boko ya mwaka
 
this is the problem with populist leaders like magufuli....at some point populist ideas have to reconcile with financial realities and that's where the whole thing falls apart.

simply put, mama is making the hard decisions that are REQUIRED!!!!

this whole debt debate you guys are having is a red pill moment for Tanzania that magufuli was shielding you guys from.
Under the Magufuli regime Tanzania even became a donor country.
57AF6329-0676-4FDA-B102-CDB77EA11D38.gif
 
27,000 itasalia Vijijini yaani umeme wa REA,Rais alichokikataa ni uongo wa kusema Umeme Nchi nzima utaunganishwa kwa 27,000 huu ulikuwa uongo wa Karne usitake kuleta upotoshaji.

Rais wa Sasa sio mwongo mwongo kama yule,ndio maana hata juzi Ali admit kupanda Kwa bei ya vitu na sababu kaweka.

Mwisho hamia Turkey mkuu maisha ni simple sana

View attachment 2068703
makato ya rea kwe mafuta yanakazi gani?
 
ni opportunity cost huyo mpotezee!..
mim niko TANESCO..naelewa kila kitu kwenye hizo ishu... sasa ishu sio uhalisia wa gharama ya kuunganisha umeme.. ishu ni serikali inakwepa jukumu lake la kumsaidia mwananchi kuunganishwa umeme.. yan iko hiv.. kama gharama ni laki moja.. serikali iseme mwananchi lipa 27k then serikali italipa 73k ili uunganishwe umeme.. lkn serikali hii inakimbia hili jukumu.. mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers
Kama kweli kuna excess power production ingekua busara kuongeza consumer hili wapate revenue kubwa kwenye mauzo ya umeme . Ikibidi kwenye cost ya kuunganisha umeme mteja alipe nusu halafu nyingine iwe kama mkopo mkopo alipe mtu kwenye kununua Luku . Sio busara kama mnazalisha zaidi halafu umeme hautumiki . Bado wanahitajika wateja zaidi
 
Back
Top Bottom