Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
It really does look like Atlanta.
It really does look like Atlanta.
Tunalipa kodi za nini kama serikali haiwezi kusambaza umeme?Uzi umekua wa kisiasa sana mpaka unaboa,kuna watz humu wanadiss kila akifanyacho mama!huo umeme wa elfu 27 kuna watu toka june wameomba umeme na hawajapata,kuna sehemu mama anakosea lakini kuna sehemu yuko sahihi,hata magu kuna sehemu alikua anakosea kama kibinadamu
Tunalipa kodi za nini kama serikali haiwezi kusambaza umeme?
na lile la elimu bure.. si ajabu nikisikia wakisema elimu bure haiwezekani...twende na uhalisia!.... chaki bure, sijui peni za walimu bure sijui nn bure haiwezekani (same thing wanavyosema upewe nguzo bure, waya bure haiwezekani)Sasa jamani elfu kumi na mbili ndio mnapiga kelele hvo, yani mpka wengine wamekata tamaa kabisamawazo yako yaheshimiwe.. lkn serikali inayoweza kulipa posho ya wabunge wanaolala bungeni kwann ishindwe kulipa gharama za kuunganisha umeme kumsaidia mwananchi kupata umeme?
mbunge mmoja posho yake kwa siku ni zaidi ya laki tatu! kwa siku laki tatu!!!! kwa wabunge zaidi ya 300 je? ni ngap hapo kwa siku? kwa siku 12 je? kwa siku 12 nyingine nne nne (vikao vinne kwa mwaka) je? unapata ngap?? sasa kumsaidia mtu mmoja mmoja kuunganisha huo umeme ndo wanaona mzigo mkubwa?
mahesabu ni simple tu.. serikali igharamie sijui kununua nguzo.. sijui mafuta ya gari (hapa wao wenyewe tu wanakula mafuta kuzungukazunguka)
au wakafanya research wanatumia kiasi gan kununua nguzo sijui mafuta sijui vifaa kwa mwaka mmoja.. hio hela wakaiweka kwenye budget ya nchi kbsa.. kama kuna budget ya posho za wabunge.. budget ya kusaidia kuunganisha umeme wanaona ni mzigo? huu ni uzwazwa!
kiufup hili suala haliko sawa.. kupata wateja wengi wa umeme kwa kuwalipisha zaidi ya 300k wasahau.. na umeme utapotea mwingi katikat


Nsawa na kusema unalipa kodi ya nn na wakati serekali inashindwa kukupa meal tatu daily...Tunalipa kodi za nini kama serikali haiwezi kusambaza umeme?
ni full makorokochoSerikali ya mama imejaa uhuni mbele nyuma
upo sahihi ila tusiwe shua sana,next cabinet reshuffle..
nitakuwa attention kwa majina ya Majaliwa na Nape..![]()
hapo hamna kitu akipewa nondo huwa anatumia emition zake kujibu mambo,Huyu Rais wenu mm bado sielewi kabisa.
sikuwahi kumkashifu mama ila kama unaakili ndogo inabidi ujiongezs sana kifikra kwa kila kinachoendelea sasa na hata baadayeMbona wewe ni boya hujisemi
we muenjoy tuMuone huyu malaya wa kisiasa![]()
bro tuendelee kuenjoy,ni opportunity cost huyo mpotezee!..
mim niko TANESCO..naelewa kila kitu kwenye hizo ishu... sasa ishu sio uhalisia wa gharama ya kuunganisha umeme.. ishu ni serikali inakwepa jukumu lake la kumsaidia mwananchi kuunganishwa umeme.. yan iko hiv.. kama gharama ni laki moja.. serikali iseme mwananchi lipa 27k then serikali italipa 73k ili uunganishwe umeme.. lkn serikali hii inakimbia hili jukumu.. mzigo wote anataka abebeshwe mwananchi ili unganishwe umeme nyumban kwako..
kwa hali hii tusahau kupata idadi kubwa ya consumers
kabisa,tuwe waziHatuna Rais tuko kwenye kipindi cha mpito



anajijua kabisa kuwa hakubaliki ndiyo ni mwepesi kupanic,data zote anazipata kupitia social networks na physical situation jinsi watu wanavyomzungumziatoo bad anajikuta/anajiona anafaa bado kuwa rais 2025![]()
kabisa wameamua kupotezea tu mamboTanzania imekosa raha siku hizi, nchi ipo kama mortuary
Nchi haina vibe kabisa, watu wanakula bata lakini bado hakuna happy
na bado tutegemee mengiJana nlikua namsifia ila leo daah katoa Boko ya mwaka
nimechekaAnakuambia projects kama hiyo walifanya miaka 20 iliyopita!![]()
This is another level of pettiness. Do you think I would read a 250-page autobiography to get an answer that you can simply just write in a single sentence? Telling me to read a book doesn't make you clever, lad. Just answer my question. What do you mean by "she is an economic hit woman?"Soma kitabu cha John Perkins, Confessions of an Economic Hit Man (2004).