Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_1640494069982.jpg
 
mboso nae alikua mombasa juzi akikusanya pesa zao 😂😂😂😂

Amekimbia ufukara wa Tanzania ameenda ku omba omba Mombasa kupitia kipaji chake 😂😂😂, tofauti yake na wale omba omba wenu walioko Nairobi wanao tumbuiza wapita njia kwa guiter na kupiga ngoma ni kidogo sana, yeye anaenda kwa vilabu ambayo watu wanalipa ili kumuondolea ufukara wa ukoo akirudi Tz awachane na mihogo na maharage, angalau asiwe na utapia mlo inayo sababisha slow brain growth matokeo ni vilaza kila kona😂😂😂😂😂😂., Mnakaribishwa nyote mje mtengeneze hela ndefu😂😂😂
 
Watanzania ni watu wajinga sana. Sasa vitu zinlianza kufanyika Kenya 1990 ndio unaringa nayo? All Kenyan matatus has lED lights on them.
Wewe ndo mjinga kulinganisha unreliable, chaotic na unsafe transport system a.k.a matatu na Brt ambayo na safe, reliable,free from chaos, sometimes uwe unatumia ubongo uki comment sio ushabik wa kimandazi!
 
Amekimbia ufukara wa Tanzania ameenda ku omba omba Mombasa kupitia kipaji chake 😂😂😂, tofauti yake na wale omba omba wenu walioko Nairobi wanao tumbuiza wapita njia kwa guiter na kupiga ngoma ni kidogo sana, yeye anaenda kwa vilabu ambayo watu wanalipa ili kumuondolea ufukara wa ukoo akirudi Tz awachane na mihogo na maharage, angalau asiwe na utapia mlo inayo sababisha slow brain growth matokeo ni vilaza kila kona😂😂😂😂😂😂., Mnakaribishwa nyote mje mtengeneze hela ndefu😂😂😂
Wee jamaa maneno mengi yasio na maana ukunya kazi kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
NairobiWalker ulisema wakenya wanapiga pesa nyingi SA kuliko Watanzania, nikakulabua na fact 🇹🇿 exports to 🇿🇦 ni 700$ million wakati 🇰🇪 exports to 🇿🇦 ni 34$ million

Leo nimekujia na habari njema nyingine 🇹🇿 to 🇿🇦

Note 🇹🇿 exports to 🇰🇪 ni 160$ million balance of trade favored 🇹🇿 ndio maana Kenya ni nothing kwetu

Soon 🇹🇿 exports to 🇿🇦 inakua 2$B

 
Amekimbia ufukara wa Tanzania ameenda ku omba omba Mombasa kupitia kipaji chake , tofauti yake na wale omba omba wenu walioko Nairobi wanao tumbuiza wapita njia kwa guiter na kupiga ngoma ni kidogo sana, yeye anaenda kwa vilabu ambayo watu wanalipa ili kumuondolea ufukara wa ukoo akirudi Tz awachane na mihogo na maharage, angalau asiwe na utapia mlo inayo sababisha slow brain growth matokeo ni vilaza kila kona., Mnakaribishwa nyote mje mtengeneze hela ndefu
Dah umeongea kitoto sn aisee
 
NairobiWalker ulisema wakenya wanapiga pesa nyingi SA kuliko Watanzania, nikakulabua na fact 🇹🇿 exports to 🇿🇦 ni 700$ million wakati 🇰🇪 exports to 🇿🇦 ni 34$ million

Leo nimekujia na habari njema nyingine 🇹🇿 to 🇿🇦

Note 🇹🇿 exports to 🇰🇪 ni 160$ million balance of trade favored 🇹🇿 ndio maana Kenya ni nothing kwetu

Soon 🇹🇿 exports to 🇿🇦 inakua 2$B


Mbona mnapendanga uongo?😂😂 Kama your total avocado export to the whole world was $8.5M, sasa hiyo $700M to south Africa and $160M to Kenya imetoka wapi?

 
Back
Top Bottom