Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiwaona Keyboard worriers humu wanavyoongea utafikiri wana type kutoka Singapore . Kumbe hapa hapa kundustan Karia Dudu, tena usikute hapo hapo kuna demu wa mtu ye akiwa Busy Jf demu anapiga part time hapo。
Kaliadudu 😂😂😂😂😂😂
Hiyo milango na madirisha ya showrooms zao ndio vimeniacha hoi 🤣🤣🤣🤣

City center unakutana na milango na madirisha ya aina hii? Imagine ukutane na hiki kituko kariakoo 😂😂😂

Screenshot_20211226-184915_1.jpg
Screenshot_20211226-184941_1.jpg
Screenshot_20211226-185021_1.jpg
 
I didn't know Shinyanga downtown is also EAC prostitution HQ

Yaani hii ndio downtown? Kuanzia wananchi mpaka majengo vyote vimechoka, lot's of mikokoteni, prostitutes, drug addicts and poverty

Kuna mpka base la wabongo hapo wametia kambi
 
Back
Top Bottom