Mashashola
JF-Expert Member
- Feb 23, 2020
- 4,389
- 5,792
Hujui kiswahili wala kiingereza wewe, hapo nimetumia neno "kujiongeza", unaelewa maana yake lakini?
Hiyo Emirate si ilitua? Kama unaulizia kuja regularly, kwa sasa hakuna demand kubwa, na hizo ndege Airbus wameshasitisha production kwasababu ya kukosa soko.
Just few hours ago you didn't know what a ramp is when it comes to highways, until I broke it down for you. Now you're all over it like cheese on pizza, typical mshagoo.
Just be humble my dude, you don't know shit. Waswahili tunasema, usimwige tembo kunya mavi makubwa, utapasuka msamba







Mwaka unamwishia Jamaa vibaya mnoo

NDINDA umeamua kuzoom utaniletea kesi sasa 🤣🤣🤣🤣🤣Si wana barabara nzuri za lami? Gari linfika mjini chafu hivi utafikiri limetoka construction site.
View attachment 2058237
View attachment 2058238
View attachment 2058239
kwenye mia chukueni moja muondoke na musitazame nyuma tena 😂😂😂😂Two weeks ago. Msikilizeni Mkulungwa [mention]ichoboy01 [/mention] kuhusu maneno ya wa K
![]()
ya nn kwann tulipie na pesa iende kwa wachina kwa miaka 30 na ajira ziende mwa wachina kwann???🤣🤣🤣Sasa lia pole pole na uamini expeessway haitwahi kua Tanzania
annhhh jamani chai maharage 😆😆😆 imetiwa udambwi udambwi
Woi this poor Tanzanian boy crying for other people's toys don't worry one day you might reach thereGDP ya Tz ni $135b
Amesema 12 lane kwani hujui kusoma?1. Part of expressway ambayo ni 8km ni flyover, so do you believe that Dar has not got flyover? u will be crazy.
2. 12 lane road iko wapi hapo Kenya, unasema 12 lane road na bado unaonesha 8lane road ambayo tayari Dar ipo (kimara kibaha highway)
3. Wind farm? Naona unaelekea kutaja Felis wheel
4. Underpass ziko kibao Dar mbwa wewe au unajisahaulisha? Au ulitaka kumaanisha tunnel road ila ukaona aibu![]()
Japo ni outdated lkn ipo.Ya zamani ipo pale uwanja wa Taifa na mpya ya kisasa ipo pale Haile Selassie Road.
Hii ni ya zamani pale uwanja wa Taifa
View attachment 2058194
View attachment 2058195
View attachment 2058196
View attachment 2058197
Bongolala, ubishi haisadii chochote. Hii picha inaonyesha vizuri sana Morocco na pia inonyesha hilo jumba la ghorofa (blue in colour) on the left with a slanting rooftop.haya nioneshe hayo majengo ya kijitonyama sasa hapo 😂😂😂😂 mm nimeona jengo hili au nasema uongo 👇👇👇👇👇
View attachment 2058157
Public transport ya Kenya inachekesha sanaSi wana barabara nzuri za lami? Gari linfika mjini chafu hivi utafikiri limetoka construction site.
View attachment 2058237
View attachment 2058238
View attachment 2058239










😂😂😂 Wakenya ni waongo sana hawa jamaa, yani yupo radhi aongee uongo ili aonekane yupo vizuri 😂😂😂, uwanja hauna viti na analazimisha eti uko na capacity ya watu 60k 😂😂😂Two weeks ago. Msikilizeni Mkulungwa [mention]ichoboy01 [/mention] kuhusu maneno ya wa K
![]()
You are a fool those are service roads hazi ishi they are all the way to the endService lane inaishia hapo mbele ndiyo una count![]()
Kalilie twitter, c wewe huwa unatoa humu hoja unapelekea KoT wenzako kule mlie pamojaYou are a fool those are service roads hazi ishi they are all the way to the end










Acha kulazimisha mambow mzee, picha ya kwanza huo mtaa unaitwa Moroko ni mbali kidogo na kijitonyama, dar huijui na unalazimisha 😂😂😂😂 unashida gani wewe 👇 kijitonyamaBongolala, ubishi haisadii chochote. Hii picha inaonyesha vizuri sana Morocco na pia inonyesha hilo jumba la ghorofa (blue in colour) on the left with a slanting rooftop.
View attachment 2058254
The same building ya blue with a slanting rooftop ndio hii hapa kwenye hii picha upande wa chini kulia. View attachment 2058257
Hiyo picha ya pili tunajua ni kijitonyama. Does it mean that these two pictures were taken in different places while one of the buildings is clearly visible in both pictures? Danganya wajinga wenzako