Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

haya tuambie umeona nn na nn?? mm naona kinondoni na CBd haya ww niambie umeona nn na nn????๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ na kama unajidanganya bado kijitonyama hujaiona vzr hapo hio ni kinondoni area + CBD
So Morocco siku hizi haipo Bagamoyo road inayopita katikati ya kijitonyama? Kwamba hapa si kijitonyama?
3010781_3010719_255718527898_status_1f931046a4504b448159a5bb48ba7939.jpg
 
Akina Geza Ulole . Nakumbuka vizuri sana. Ni mimi nilikua nawaambia Gap inaongezeka.In 2004 walikuwa na GDP Kubwa kuliko Kenya, 2005 tukawavuka and since then the gap has been increasing. Hawaoni.
Ni mtu mpuuzi asiyetumia akili ndiye anaweza kuamini upuuzi wa kuamini kwamba gap inaongezeka wakati uchumi wa TZ unakua kwa Kasi ya 7% wakati Kenya ni 5%, kichaa pekee ndiyo ataamini kwamba gap inaongezeka
 
Yani hawa wakenya me wananichekesha sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ imekua ni kawaida yao kurudi nyuma kimaendeleo karibu kwenye kila kitu badala ya kwenda mbele ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ..ona mfano hizi high speed rail roads zilijengwa na kuwa electrified tango 1980s uko Ulaya ๐Ÿ‘‡ona kitu kikali mixer nyoka huyo
Screenshot_20211226-121048_1.jpg
alafu miaka 40 baadae (baada ya mapinduzi makubwa ya viwanda na technology kukua zaidi) eti wakenya na wao wakajenga kitu cha diesel ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡
640px-Kenya_Railways_DF8B_locomotive_on_the_new_SGR_line_06-06-2017.jpg
naivasha_sgr.jpg
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nyie jamaa muache kujifanya ni time travellers bhana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yani dunia inakimbia mbio mbele, nyie mnarudi nyuma mbio nyingi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. bhana eeh bro Simon njoo useme nao
 
Yani hawa wakenya me wananichekesha sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ imekua ni kawaida yao kurudi nyuma kimaendeleo karibu kwenye kila kitu badala ya kwenda mbele ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ ..ona mfano hizi high speed rail roads zilijengwa na kuwa electrified tango 1980s uko Ulaya ๐Ÿ‘‡ona kitu kikali mixer nyoka huyoView attachment 2058156alafu miaka 40 baadae (baada ya mapinduzi makubwa ya viwanda na technology kukua zaidi) eti wakenya na wao wakajenga kitu cha diesel ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡View attachment 2058158View attachment 2058159๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nyie jamaa muache kujifanya ni time travellers bhana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ yani dunia inakimbia mbio mbele, nyie mnarudi nyuma mbio nyingi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.. bhana eeh bro Simon njoo useme nao
sio wanajenga wamejengewa na wachina kwa mkopo mkubwa wenye riba ya commercial alaf hao hao ndio wanakeambia wamesoma ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ tena mbaya zaidi mlevi nae anapeperusha bendera
399EFA15-98B5-44EA-8950-619B65BD2033.jpeg
C0900F23-D31A-4783-8B1B-25F4B3A12C65.jpeg
 
sio wanajenga wamejengewa na wachina kwa mkopo mkubwa wenye riba ya commercial alaf hao hao ndio wanakeambia wamesoma ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ tena mbaya zaidi mlevi nae anapeperusha bendera
View attachment 2058166View attachment 2058167
These people are time travellers, they travelling back in time ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Halafu tunabishana nao kuhusu future, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚. Eti na wao ni wasomi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚,
 
Acha kuongopea watu huu uwanja ni mdogo sana na uko na viti vichache mno, ukilinganisha na viti vilivyopo umepost kipicha cha kieneo kidogo mlichoweka viti ili ufiche aibu Eti capacity ya 60k pp ..mavi kwa upuuzi huu . Hiyo ni video ya wiki mbili tu zilizopita


Two weeks ago . Msikilizeni Mkulungwa [mention]ichoboy01 [/mention] kuhusu maneno ya wa K
 
Kutana na infrastructure zilizopo DSM tu na hakuna ndani ya NAIROBI. International Bus terminus View attachment 2057609View attachment 2057610View attachment 2057611View attachment 2057612View attachment 2057613BRT system View attachment 2057614View attachment 2057615View attachment 2057616View attachment 2057617over water bridges View attachment 2057618View attachment 2057619View attachment 2057620high speed rail roads .. hizo hapo juu ni infrastructures ambazo zipo DSM tu na hakuna kabisa Nairobi..NB: kwa mkenya yeyote mbishi ataruhusiwa kujibu hii post yangu akiwa na uthibitisho wa picha au video tu.

Na Bado watakuambia Mombasa ina Dollar Millionaire kuliko Dar, Kumber Dar ndio ina Millionaire wengi kuliko Nchi yao nzima
 
Tunajiongeza, tunaachana na pollution sisi.

Hamna vigezo vya kutua hizo ndege, acha ubabaishaji wewe.

Unafikiri interchange nimezijuwa juzi...

Ramp (north America) ndiyo barabara za mchepuko (slip au link road). Kama hujui kitu uliza, usijifanye mjuaji, we mshago.

Hii vitasa anavyopewa huju Bwana ni noma sana . Kuanzia โ€œ Receipts โ€œ na Sasa โ€œRampโ€ anakula darasa tu bila Ada.
 
imejengwa na mchina itakilikiwa na mchina kwa miaka 30 hakuna mkenya ataitumia bila malipo kwenda kwa mchina kwa miaka 30 na ajira zote za uendeshaji na uongozi zitaenda kwa wachina kwa miaka 30

hebu chekecha akili yako hapo
Sasa lia pole pole na uamini expeessway haitwahi kua Tanzania
 
Back
Top Bottom