Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nadhan tokea mwaka huu uanze hadi unaelekea ukingoni sijawah kuona mkenya anapost miradi ya maji kwa kujisifu..
kwenye water supply and sanitation services level zetu ni Australia huko au US au CANADA
Acha kuota utakojoa kwa kitanda🤣🤣🤣🤣
 
Hii meli inayojengwa na engineers wa kikenya ndio ulinganishe na Mv Mwanza
We are proud that in locals participate in construction of water vessels and not like Tanzania where everything is done by japanese and chinesešŸ˜‚šŸ˜‚
 
We are proud that in locals participate in construction of water vessels and not like Tanzania where everything is done by japanese and chinese
Yah na ndiyo maana hamuwezi kulinganisha Mv Mwanza na uchafu unaojengwa na engineers wanaoporomosha majengo daily
 
Yah na ndiyo maana hamuwezi kulinganisha Mv Mwanza na uchafu unaojengwa na engineers wanaoporomosha majengo daily
That just show how tanzania is full of warthogs. Something simple like just assembling of parts bado mnaiitia wajapanese?🤣🤣
 
GDP ya Tz ni $135b na ndiyo maana tunafanya miradi mikubwa ambayo hakuna nchi inaweza fanya East and Central Africa unabisha?
Ni miradi gani mnafanya yenye haijaifanywa East Africa?🤣🤣🤣
 
That justy show how tanzania is full of warthogs. Something simple like just assembling of parts bado mnaiitia wajapanese?
Simple? Onesha mradi mkubwa unaojengwa na engineers wa kikenya, hata hyo ferry ya Mv uhuru Wakenya wameshindwa kujenga wao wkt cc huku ferries wanajenga Watz
 
nadhan tokea mwaka huu uanze hadi unaelekea ukingoni sijawah kuona mkenya anapost miradi ya maji kwa kujisifu..
kwenye water supply and sanitation services level zetu ni Australia huko au US au CANADA
hizo ni miradi zinafanywa na county governments huku
 
Simple? Onesha mradi mkubwa unaojengwa na engineers wa kikenya, hata hyo ferry ya Mv uhuru Wakenya wameshindwa kujenga wao wkt cc huku ferries wanajenga Watz
Tena umechange gear? Si ulikuwa unasema ati nyinyi ferry zenu zinajengwa na Japanese?🤣🤣
 
Ni miradi gani mnafanya yenye haijaifanywa East Africa?
Hii hapa
JamiiForums-571630931.jpg
Screenshot_20211222-075313.jpg
IMG_20211201_140430_115.jpg
JamiiForums200845940.jpg
Screenshot_20210515-185728.jpg
JamiiForums-1936942043.jpg
JamiiForums746105538.jpg
JamiiForums-376545550.jpg
tapatalk_1634205453267.jpg
 
šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£šŸ¤£
Ukitaka mwenye huwa anatamani Tanzania iwe na GDP kubwa kuliko Kenya ni huyo, nma ukiwapata wakijidanganya ati GDP sio issue you can just bust out ion laughter.
 
Back
Top Bottom