THE BOILER ROOM
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,054
- 3,212
Tony acha kutoa utetezi wa kindezi hivi!!!!PPP za US na Mataifa mengine yaliyoendelea ni tofauti na hiyo ya kwenu!!!!Kule unakuta ni serikali na makampuni binafsi yanayomilikiwa na wananchi wake kwa kiasi kikubwa pesa haitoki nje ya mipaka ya nchi kirahisi rahisi hivyo!!!!Hii ya kwenu ni ya mchina, hakuna kampuni binafsi ya Kenya yoyote iliyotia mkono wake kwenye huu mradi!!!Uongo?!!!Anza na hii hapa. Leo nataka upevuke uwache kufikiria kishamba shamba. Mawazo ya kijamaa sio nzuri.
Hizi private roads zipo nyingi Marekani na zinaitwa turnpikes. Cc ichoboy01
![]()
Private highways in the United States - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
