Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kamilisha kwanza, ndio maana nasema ngoja hiyo miaka 25., kama SGR mmeishi miaka na ni km chache kuliko Nairobi -Mombasa.,
malizeni projects mje tufanye hesabu.., 25 to 50 years.., Kenya ain't waiting , na Kenya licha ya kukua juu yenu bado inasonga mbele kwa mbele
#25-50years!
Naona umejibu kwa uchungu mkubwa
 
Naona umejibu kwa uchungu mkubwa
umeumia naona., miradi hazisongi., nchi ni fukara, pia hamkopesheki kivile, annual revenue ni hafifu, itawachukua mda sana, disadvantages ya nchi kukua fukara kiuchumi na ni kubwa na watu ni wengi tena mifukara kwa wingi, ona sasa., ni gap after gap hadi kiama.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Nani kakudanganya.., hebu fanya hesabu kwa hii battle tu, how many Tanzanians are here vs Kenyans, ata upande wa kenyan news, mmejaa kuliko wakenya, unajitekenya na kucheka idiot ., hapa unaweka facts mambo ya domo domo ni kule unakoshinda vijiweni., ., naona ni ulcers na pressure utapata humu, na bado, tuko wachache laikini tunawatesa kweli., jamii forum haijulikani Kenya kilaza.,
Jamii forums Kenya haijulikani, wewe uliijuaje? Au ni mhutu wewe.
 
Jamii forums Kenya haijulikani, wewe uliijuaje? Au ni mhutu wewe.
Kwani watu wachache wakiijua so inajulikana? Kenyans dwell on tweeter., hapa unadhani ni wangapi wako registered and active?., wanafika ata mia kweli? una kicha nini? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 wangekua humu mngeona vumbi
 
Dar ulaya
InShot_20211215_122909974.jpg
InShot_20211215_122950577.jpg
InShot_20211215_123028427.jpg
InShot_20211215_123059668.jpg
InShot_20211215_123155270.jpg
InShot_20211215_123223828.jpg
 
umeumia naona., miradi hazisongi., nchi ni fukara, pia hamkopesheki kivile, annual revenue ni hafifu, itawachukua mda sana, disadvantages ya nchi kukua fukara kiuchumi na ni kubwa na watu ni wengi tena mifukara kwa wingi, ona sasa., ni gap after gap hadi kiama..,
Hapo kwenye mifukara mbn hutaji vitu essential kama food? Unaogopa nn? Cc si mifukara kwahiyo vitu basic kama food and shelter ni lazima itupige chenga au unasemaje
 
Have u ever seen flight record ya hizo airports uchwara? utacheka tu, mitanzania na misifa hewa., ni mifukara inaonekana na wanakana., yaani wamevaa surauali yenye imeraruka nyuma, matako yote yako nje na wanapingana, kila kitu kwao kimejianika wazi wazi, ufukara, ushamba na underdevelopment
hujawaambia poa
 
Back
Top Bottom