Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

from KQ:- part of kibos, Kondele and Manyatta estates, kisumu.
Kondele's flyover in the foreground
33080079648_ee3d6eee9d_h.jpg
 
mnaishi kwa kukariri.Barabara yetu ya Zege Njombe-Ludewa JPM alicha imejengwa almost 25km leo zimebaki labda km 5 kati ya hamsini na kazi kubwa ya imefanyika toka july hadi hii Disemba.Haya kigongo busisi mkandarasi kaambiwa juzi na Mbarawa aongeze nguvu kazi na aongeze speed.Huyu wa BRT aliambiwa arudie km 4 alizofanya uhuni.Nyie mnataka kipi mjue kazi zinafanyika.Saidieni kuripoti uozo badalaya kuota mchana
Hayo ni maneno tu vitendo ni sifuri tena ukizindatia vision ya uchapa kazi magu kaionyesha ,wewe unafikili bila magu kuwa raisi samia angejua la kufanya zaidi ya kula bata tu
 
Wengine wanajua ukweli kabisa miradi inaendelea vizuri na iliyosimama kama Airport ya Mwanza sababu za kasoro ni genuine kabisa ila basi tu ndio hivyo hawajakubali kuwa tuna Rais na Serikali nyingine. Tukitaka tujikumbushe miradi mingapi ilisimama JPM alipoingia madarakani na mingine mpaka leo iko vile vile na mingine ilisuasua mpaka kukamilika. Mfano rahisi ni Terminal 3 kabla ya kuamua kutoa hela baadae, Dege Village….umekufa kabisa, Bagamoyo Port nayo ikapigwa zengwe, Kurasini Logistics Center ulisahulika kabisa mpaka juzi hapa umezinduliwa tena na mingine mingi tu. Tujifunze kufuatilia details na tuwe wakweli, kama kuna kasoro genuine yes tuseme na sio emotions tu.
Jpm alikutana na matatizo mengi sana lakini aliweza kuyavuka na maadui wengu sana ukweli ni kuwa mpaka sasa mama ajafanya lolote la maana tena hata vision yake hakuna anayeijua kwa sababu ni jamii za vibaraka tu wa mabeberu anasubiri mwongozo kutoka kwa wazungu
 
Hii 👇 👇 Thika Town kwao ingekua ni city.., 😂 😂 😂 😂 , ingeitwa Thika City., kwa standard za Tz na Uganda, tuko na city mingi sana! 😂 😂 😂 😂

Thika town.., with class! 🔥 😍
View attachment 2051442
View attachment 2051441
View attachment 2051452
View attachment 2051451
View attachment 2051454
View attachment 2051453
View attachment 2051438
View attachment 2051439
View attachment 2051440
View attachment 2051443
View attachment 2051444
View attachment 2051447
View attachment 2051448
Thika Iko on fire 🔥🔥
 
Bro The best 007 unaonaje tufungue Uzi mpya wa Chuga vs Kipoison, au ni aibu tutawaabisha sana jirani.? Tuwasameh.? ..

Though nataman iwe ivyo mana waliidanganya sana dunia hawa jamaa kuhusu uhalisia wa hizo towns zao wanazoziita Cities, Nataka tuwakomeshe, ili wanyamaze kimya sasa ..

Au watanzania wenzangu mnaonaje wazo langu.?
Huoni wameacha comparison ya Kipoison vs Arusha, eti Arusha ufananishe na Kisumu kisa cheap flyover ya porini isiyo na lami
 
Big up wabongo wote humu salaam nyingi toka nchi Fulani hivi, kwa kweli Tanzania tunapendwa sio Siri nimehisi kutokwa na machozi kwa uzur tunao julikana nao,kwanza The best 007 ,ichoboy01 ,babayao255 ,NDINDA ,Lusematic ,Geza Ulole ,Mkwanzania ,Tz_one passioner255 Njoga boy ,@Mjombe,Papi Chulo ,Chamoto ,eliakeem ,@Lwiva,mkorinto ,@gwakana etc
Big up na wote ambao sijawataja na Wana fight kuona dizzim na Tanzania Iko juu
Shukran sana mkuu, tunaendeleza moto mpk hawa mbwa wakimbie battle, tukitoka hapa tunaenda twitter kuwaalika wakunya wote waje humu wachezee vitasa, wakisusa tunawafuata huko huko
 
Big up wabongo wote humu salaam nyingi toka nchi Fulani hivi, kwa kweli Tanzania tunapendwa sio Siri nimehisi kutokwa na machozi kwa uzur tunao julikana nao,kwanza The best 007 ,ichoboy01 ,babayao255 ,NDINDA ,Lusematic ,Geza Ulole ,Mkwanzania ,Tz_one passioner255 Njoga boy ,@Mjombe,Papi Chulo ,Chamoto ,eliakeem ,@Lwiva,mkorinto ,@gwakana etc
Big up na wote ambao sijawataja na Wana fight kuona dizzim na Tanzania Iko juu
Naongezea na hawa

Alhaj Profesa Sir joto la jiwe, Naton Jr

xng hua eliakeem fundi wa modern photos engineer NDINDA mzee wa kufukua babayao255 kizazi kipya Sama boy 255 silent killer chongchung mzee wa kumaliza game over kiboko ya wakunya mwenyekiti wa battle sheikh ichoboy01 Katibu mkuu wa battle a.k.a the encyclopedia Geza Ulole list itaongezwa
 
Back
Top Bottom