Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

👋👋👋👋

images - 2021-12-20T221451.075.jpeg
images - 2021-12-20T221521.616.jpeg
images - 2021-12-20T221554.474.jpeg
images - 2021-12-20T220810.280.jpeg
images - 2021-12-20T220741.584.jpeg
images - 2021-12-20T220832.131.jpeg
images - 2021-12-20T220756.943.jpeg
PicsArt_12-20-10.18.15.jpg
 
Bro The best 007 unaonaje tufungue Uzi mpya wa Chuga vs Kipoison, au ni aibu tutawaabisha sana jirani.? Tuwasameh.? ..

Though nataman iwe ivyo mana waliidanganya sana dunia hawa jamaa kuhusu uhalisia wa hizo towns zao wanazoziita Cities, Nataka tuwakomeshe, ili wanyamaze kimya sasa ..

Au watanzania wenzangu mnaonaje wazo langu.?
mkuu itakuwa tunafanya dhambi kubwa,
tutakuwa tunaishusha hadhi Chuga
 
Updates za SGR: Leo nimepita pale njia panda Segerea nikitokea airport!!!Wameifunga rasmi ile njia!!!sasa ukiwa unaenda Kinyerezi inabidi uingilie njia panda airport!!!!utembee parallel na reli!!!Wanajipanga, soon patakuwa bize na ujenzi, Kazi iendelee!!!
Yah, foleni ya kizushi imeondoka pale aisee, kweli infrastructures ni muhimu sana katika maendeleo ya nchi.
 
hizi kms wanahesabu lkn? kitu kipo mkoa wa mbal sana
Hii battle itapigwa tena vzr, yani watakimbia humu nakwambia, kwenye kms of paved roads tumewaacha mbali mno mno mno amini kwamba mkuu, Kenya hawaingii hata robo kwenye battle ya paved roads, na cku nikigundua Kenya imetuzidi kwenye paved roads itabidi nijipige risasi mana ntakuwa naishi dunia ya uongo sana.
 
Back
Top Bottom