Burukenge leo utatorokea wapi?🤣🤣Mbona unarudia kupost streets zile zile vipi umeishiwa.?
Burukenge leo utatorokea wapi?🤣🤣Mbona unarudia kupost streets zile zile vipi umeishiwa.?
Akili ndogo wewe, sio kila data inayotolewa na WB na IMF ni sahihi, na kwa msomi timamu huwezi kukubaliana na kila kilichandikwa huo ni uzuzu, akili zako zisiwe limited kiasi hicho, huwezi kuniambia eti Tz kuna umaskini uliokithiri kuliko kenya while kwa ground inaonekana kabisa wapo wakenya wanakufa kwa kukosa chakula alafu nikubaliane na hiyo taarifa.. no wayNijibu hoja za mtu ambaye anaamini data za mashirika za kimataifa zinaandikwa na wakenya? Mtu mjinga kama huyo si unamtusi tu huenda akili ikafunguka!
Bado kuna private weight brigde zinatukika na cergo transporter kabla malori hayajaanza safari . Wanaofanya biashara malori lazima wapime kwenye mizani ya watu binafsi kabla hawajaanza safari hili wajue kama mzigo umezidi wapunguze[emoji23][emoji23][emoji23] Kwahyo kumbe mwanangu JENPAULITE kelele zote zile za virtual weight bridges, kumbe weight bridges zenyew mnazi 9 nchi nzima [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naakati tz kila mkoa zipo na kuna mikoa zipo zaidi ya mbili [emoji23][emoji23][emoji23], wakenya bhana .. halafu kila siku tunapigizana kelele kuhusu habari ya barabara za lami [emoji23][emoji23][emoji23] sasa huwa zinatumikaje.? Au hayo maeneo mengine Kenya hakuna shughuli za biashara zinazoendelea.? [emoji23][emoji23][emoji23] Oya The best 007 Mimi hii discussion na hawa mbwa inafurahisha sana
Hapana unapost different photos same area halafu unasema hiyo ni battle 😂😂😂 👇View attachment 2047860View attachment 2047861View attachment 2047862
Ni jambo la ajabu sana mlevi kama wewe kusema eti mimi sijielewi .. while uko busy kupost vichuma uki claim ni MAENDELEO
Kuna weight bridges ngapi ndani ya kenya.? 😂😂Bado kuna private weight brigde zinatukika na cergo transporter kabla malori hayajaanza safari . Wanaofanya biashara malori lazima wapime kwenye mizani ya watu binafsi kabla hawajaanza safari hili wajue kama mzigo umezidi wapunguze
Thank you bro ngoja nimtoe damu sasa huyu mbwaMtaa wa Samora una Backless Concrete Bench nyingi tu baada ya improvement miaka kadhaa nyuma.
View attachment 2047876
View attachment 2047877
View attachment 2047878
View attachment 2047879
View attachment 2047880
View attachment 2047881
View attachment 2047882
View attachment 2047883
Hii shughuli sisi tulianza kitambo sanaLeta hapa ushahidi uone wewe ndio mjinga zaidi
Thank you bro ngoja nimtoe damu sasa huyu mbwa
Kwa streets kwani hakuna benches?Barack Obama kuna bench kadhaa [emoji1787]pia. Hata Ichoboy anazijua. [emoji1787]
View attachment 2047894
View attachment 2047895
View attachment 2047896
Inabdi kuwe na kampeni ya kurejesha miti hapo.Barack Obama kuna bench kadhaa [emoji1787]pia. Hata Ichoboy anazijua. [emoji1787] View attachment 2047896
Bro ndio sehem yangu ya kupumzika nikifikaga hii mitaa nilisahau tuBarack Obama kuna bench kadhaa [emoji1787]pia. Hata Ichoboy anazijua. [emoji1787]
View attachment 2047894
View attachment 2047895
View attachment 2047896
We unaona kuna nn hapa zaidi ya pori mzee.Outskirts of Nairobi some 25 km from CBD.
Don YF KANAIRO Nicxie KENPAULITE Eti hii picha ingekua Dar sahii tungekua tunaona nini kila pahali?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
![]()