Umesema ziko kumi bongo, ebu tuone hata moja. πππππ Leo ushamba wako umenipatia kicheko cha ajabu. Eti mumebakisha kufunga cameras wapi? ππππππHii inaitwaje? View attachment 2047367
Umesema ziko kumi bongo, ebu tuone hata moja. πππππ Leo ushamba wako umenipatia kicheko cha ajabu. Eti mumebakisha kufunga cameras wapi? ππππππHii inaitwaje? View attachment 2047367
Naona umeandika makala ndefu lakini umesahau source ambayo ni Mama Ngina.
Alafu mnataka Watz waje Kenya for vacation hivi unaakili kweli wewe? Hakuna kitu chochote kipo Kenya kikakosa kuwepo Tz lkn kuna vivutio vingi vipo Tz na huwezi kuviona East and Central Africa if not all over the world, ss Watz waje Kenya kufanya nn, labda kutalii ma slums ambayo huku kwetu hamna.
We got opposite reputation from our SA BrothersSA kenye mnajua sana ni drug peddling
Hizo zingine 9 ni gani na ziko wapi, jibu hii swali ukijua kwamba nimepitisha lorries kadhaa hapo tzπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Hasira ya kuwa na weighbridges 9 huku Tanzania ikiwa na zaidi ya 70 ndio mnataka kunimalizia?
Mimi nisijue virtual weighbridges? π€£π€£π€£π€£
Weigh in motion ndio hiyo virtual na zipo 10 tayari, moja wapo hii hapa, bado kufungwa cameras tu
View attachment 2047337
We got opposite reputation from our SA Brothers
Acha kuwa mshamba lazima kuwe na gate la kuzuia overweighted vehicles, hiyo ni checkout point na huwa open kama upo normal, bridge yenyewe ipo nyuma ya hiyo pointFala anapost static weighbridge eti ni virtual, ni camera tu hakuna. Since when virtual Weighbridge ikaundwa kando ya barabara na gari hazifai kusimamishwa.ππππ Mshamba sana huyo.
Yes atuonyeshe tuone kama washa install cameras kwa hizo zingine tisa pia. πππ ππHizo zingine 9 ni gani na ziko wapi, jibu hii swali ukijua kwamba nimepitisha lorries kadhaa hapo tzπ€£π€£π€£
Ulisema kuna wakenya wengi in SA zaidi ya Watanzania, sasa naona unatafuta pa kutokeaI'm talking of tourists.
Not omba ombas and hawkers.
Also, you'll never hear Kenyans grouped together with Nigerians and Tanzanians by the xenophobic South Africans, because the Kenyans who actually work there don't compete with poor South Africans hawking on the streets.
They work in big offices as professionals.
Haya mambo bhana yanachekesha sana ππππ innovation .? Kenya.? πππInnovation tumewaacha
ICT tumewaacha
Social development tumewaacha
Human Development index tumewaacha
Quality of education tunewaacha
Yani hawa ni kujifurahisha tu
Ebu tuone hio bridge. ππππ Leo umenimaliza na kicheko. πππ Yani virtual Weighbridge yenu hadi ikona gate. Wow that's very unique. πππππAcha kuwa mshamba lazima kuwe na gate la kuzuia overweighted vehicles, hiyo ni checkout point na huwa open kama upo normal, bridge yenyewe ipo nyuma ya hiyo point
Ulisema kuna wakenya wengi in SA zaidi ya Watanzania, sasa naona unatafuta pa kutokea
SA tunaenda na basi
Hivi vipicha ndio unatumia as facts for your points, wewe jamaa ni kilaza tuπππHaya mambo bhana yanachekesha sana ππππ innovation .? Kenya.? πππ
ICT kwa kweli mimi sio mwerevu wa hizo mambo
Social development ni kitu ambacho tumewaacha nyuma hamtuwezi huku kabisa coz hakuna social development bila kuwa na social services za kutosha.. kaa chini jitathmini, je nani mkali wao kwenye hizi mambo.
Human development/ individual development, huku ndio hamtuwezi kabisa, maskini wa mwisho tanzania huwa ni yule ambae ako na malnutrition while in Kenya ni yule ambae he/she suffering from starvation (them ain't afford food to eat) , yani hana chakula kabisa πππ.. lakini tukija kwa matajiri tz iko na namba kubwa ya matajiri Γ3 ukilinganisha na kenya.. sasa sijui ni huma development gani unaizingumzia hapa
Quality education.? In Kenya.? Hii hii elimu inayozlisha vilaza wa kuangusha magorofa kila uchao.? Elimu inayozlisha viongozi wa ku sign bogas treat.? .. heb ona elimu ya tz πView attachment 2047379View attachment 2047380View attachment 2047381View attachment 2047383View attachment 2047386View attachment 2047387
Hiyo miradi hapo imefanywa na watanzania wenyewe, hivyo ni vielelezo vya ubora wa elimu yetu, sijatumia maneno ila vitendo, elimu ni matokeo sio maneno. Kila siku blah blah, sijui nani kasema, sijui nani kaandika lahasha, ubora wa elimu nimatokeo
πππ Kwahyo kumbe mwanangu JENPAULITE kelele zote zile za virtual weight bridges, kumbe weight bridges zenyew mnazi 9 nchi nzima ππππ naakati tz kila mkoa zipo na kuna mikoa zipo zaidi ya mbili πππ, wakenya bhana .. halafu kila siku tunapigizana kelele kuhusu habari ya barabara za lami πππ sasa huwa zinatumikaje.? Au hayo maeneo mengine Kenya hakuna shughuli za biashara zinazoendelea.? πππ Oya The best 007 Mimi hii discussion na hawa mbwa inafurahisha sanaHamna, najua weighbridge zenyu kadhaa vizuri sana, wacha wivu
Hamna virtual weigh bridge hata moja, leta ushahidi mkona any functioning weigh bridge hapa, zenyu bado lazima ukanyage mizani kupima both axle loadπππ Kwahyo kumbe mwanangu JENPAULITE kelele zote zile za virtual weight bridges, kumbe weight bridges zenyew mnazi 9 nchi nzima ππππ naakati tz kila mkoa zipo na kuna mikoa zipo zaidi ya mbili πππ, wakenya bhana .. halafu kila siku tunapigizana kelele kuhusu habari ya barabara za lami πππ sasa huwa zinatumikaje.? Au hayo maeneo mengine Kenya hakuna shughuli za biashara zinazoendelea.? πππ Oya The best 007 Mimi hii discussion na hawa mbwa inafurahisha sana
Kuona ni kuamini mzee .. wewe ni kilaza wawapi wewe.? huwezi kuaminisha mtu kitu chochote bila kumuonyesha..Hivi vipicha ndio unatumia as facts for your points, wewe jamaa ni kilaza tuπππ
Mko na weight bridges ngapi.?Hamna virtual weigh bridge hata moja, leta ushahidi mkona any functioning weigh bridge hapa, zenyu bado lazima ukanyage mizani kupima both axle load



what's your human development index like?Haya mambo bhana yanachekesha sanainnovation .? Kenya.?
ICT kwa kweli mimi sio mwerevu wa hizo mambo
Social development ni kitu ambacho tumewaacha nyuma hamtuwezi huku kabisa coz hakuna social development bila kuwa na social services za kutosha.. kaa chini jitathmini, je nani mkali wao kwenye hizi mambo.
Human development/ individual development, huku ndio hamtuwezi kabisa, maskini wa mwisho tanzania huwa ni yule ambae ako na malnutrition while in Kenya ni yule ambae he/she suffering from starvation (them ain't afford food to eat) , yani hana chakula kabisa.. lakini tukija kwa matajiri tz iko na namba kubwa ya matajiri Γ3 ukilinganisha na kenya.. sasa sijui ni huma development gani unaizingumzia hapa
Quality education.? In Kenya.? Hii hii elimu inayozlisha vilaza wa kuangusha magorofa kila uchao.? Elimu inayozlisha viongozi wa ku sign bogas treat.? .. heb ona elimu ya tzView attachment 2047379View attachment 2047380View attachment 2047381View attachment 2047383View attachment 2047386View attachment 2047387
Hiyo miradi hapo imefanywa na watanzania wenyewe, hivyo ni vielelezo vya ubora wa elimu yetu, sijatumia maneno ila vitendo, elimu ni matokeo sio maneno. Kila siku blah blah, sijui nani kasema, sijui nani kaandika lahasha, ubora wa elimu nimatokeo
Mwingine upo VigwazaHizo zingine 9 ni gani na ziko wapi, jibu hii swali ukijua kwamba nimepitisha lorries kadhaa hapo tzπ€£π€£π€£
Mzee kanairo vipi umeamkaje.? Mbona unaniuliza maswali ya ili wew uje na source za mama ngina unijibu.? Nilitegemea ungekataa niliyoyaandika hapowhat's your human development index like?