joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kiswahili ni lugha ya Tanzania, Kiingereza ni lugha ya WaingerezaLugha yenulugha yenu ipi? Don't make me laugh




Kiswahili ni lugha ya Tanzania, Kiingereza ni lugha ya WaingerezaLugha yenulugha yenu ipi? Don't make me laugh




Acha ujinga hizo weigh bridge za kupita bila kusimama Tz ziko miaka 8 sasaVery soon hawa watz wataanza kuturingia na mambo ya virtual weighbridges, which currently are on operation in KenyaView attachment 2046812View attachment 2046814
Wewe ndio jinga, hujui kwamba hiyo miti huku tunalima Kama tunavyolima mahindi, tomato na machungwa?, We make money from tree plantations the same way you make money from tea, sugarcane plantations, due you destroy environment when you harvest sugarcane for your sugar industries?Tanzania ndo wajinga Sisi tunahifadhi Miti but we exploit Tanzania forest inaitwa akili. People don't stop using tree poles sababu Ni mbaya they stopped because they destroy the environment but if we can source from Tanzania watumie tu za Miti coz no biodegradable I love that guy who said we source from Tanzania he is a very wise guy




Wale wauza mitumba wa Gikomba? 🤣🤣 Wako pale Majengo wanaishi huko. Hawajafukuzwa. Tukiwa na roho mbaya kama nyinyi tuwafukuze mtajionea wakilia.Wale ambao Jaguar alilalamika kwamba Kuna watanzania wamejaa Kenya wanachukua biashara za wakenya kwahiyo wafukuzwe, Tanzania tulipokuja juu mkamfunga kwa wiki Moja, mnatuogopa Sana hamuwezi gusa watanzania huko Kenya
![]()
Ebu toa evidence.Nguzo za zege Tanzania zimeanza 2014 video niliweka waziri akisema.
Kwa malls Wachana nayo not anywhere close hapo mlichezwa malls hamunaKutana na some shopping centers outside CBDView attachment 2046782View attachment 2046783View attachment 2046784View attachment 2046785View attachment 2046787View attachment 2046788View attachment 2046789View attachment 2046790View attachment 2046791View attachment 2046792View attachment 2046793View attachment 2046794View attachment 2046801View attachment 2046802View attachment 2046803View attachment 2046804View attachment 2046805View attachment 2046806View attachment 2046807View attachment 2046808View attachment 2046809View attachment 2046810View attachment 2046811View attachment 2046813View attachment 2046815View attachment 2046816View attachment 2046818View attachment 2046819View attachment 2046820View attachment 2046823
He was very specific hadi akasema virtual weighbridge. Ila kwa ulimbukeni wako ukaja kutoa povu. Hizo normal weighbridges zinapatikana nchi zote duniani so don't make a fuss about them. We are talking about virtual weighbridges here. There's a very big differenceSasa mbona unazungumzia kitu kilekile alafu unasema hatuna.? Heb leta kwanza iyo moja ambayo umeshaanza kufanya kazi tuione
Largest wooden poles industry in Africa is in Tanzania
Largest concrete pole industry in the region is in Tanzania as well
Tunawafukuzia nini, sisi hatuna roho za kichawi na kitoto, kwani wakenya ndio hawako tanzania?Kama ambavyo hao raia wa Kenya hapo Namanga tuliwafukuza wakalalamika, mkijaribu kuwagusa hao watanzania hapo Gikomba, lazima tuwapige, ninyi mnatuogopa Sana![]()
Leta hapa ushahidi uone wewe ndio mjinga zaidiAcha ujinga hizo weigh bridge za kupita bila kusimama Tz ziko miaka 8 sasa
Hivi hamuoni aibu kushare hii picha?
Hahahaha, jaribuni muone moto utakavyowachoma, mumesahau hii?Wale wauza mitumba wa Gikomba?Wako pale Majengo wanaishi huko. Hawajafukuzwa. Tukiwa na roho mbaya kama nyinyi tuwafukuze mtajionea wakilia.
Barabara hamtuwezi Wacha kujidanganya msee and health sector pia Wachana nayo we ongelea sgr Na brt pekee and investment of a country does not only rely on two infrastructures what about technology? What about innovation? Ict? Social development? Citizens wellbeing? Equality? Education. All your money mnarusha to few countable projects forgetting a country is more than just an sgr that will serve only a few of the citizensKuwa upinzani sio ndio upinge kila kitu akili ndogo wewe,.. hivi kwa akili zako, kuna nchi imewekeza na inaendelea kuwekeza kwenye masuala ya SGR hapa EA kuliko tz 1500km of rail roads? Kwenye masuala ya Anga je.? Sisi tumeshanunua ndege 17 jirani anamiliki ndege tatu chakavu, Kwenye mabarabara na Madaraja je.? Kwenye huduma za afya je.? Hizi sector ndio kipaumbele chetu, Wachina wanasema wao wanasema "ukitaka maendeleo tengeneza barabara kwanza" je kuna mkoa hapa tz kwasasa ambao haufikk kwa lami.? Ni taifa gani hapa EA ambalo serikali yake imewekeza kwenye nyanja zote hizo nilizotaja kwa weledi na ubunifu zaidi.? Hao wakina kenya si wanaingia mikataba ya hovyo kila siku.? Je nani Kati yetu yupo na kesho bora.? .. wewe jamaa uache kuwaza na matako...
Wale ni ombaomba wa barabaraniWale ambao Jaguar alilalamika kwamba Kuna watanzania wamejaa Kenya wanachukua biashara za wakenya kwahiyo wafukuzwe, Tanzania tulipokuja juu mkamfunga kwa wiki Moja, mnatuogopa Sana hamuwezi gusa watanzania huko Kenya
![]()
Hii hoja yako ilijibiwa huko juu,go back and answer itOya tunayo Cathlab tume launch june 2021View attachment 2046935
Kwahiyo ombaomba pia mnawaonea wivu kwamba wanachukua nafasi za wakenya mnataka kuwafukuza?Wale ni ombaomba wa barabarani



Innovation tumewaachaBarabara hamtuwezi Wacha kujidanganya msee and health sector pia Wachana nayo we ongelea sgr Na brt pekee and investment of a country does not only rely on two infrastructures what about technology? What about innovation? Ict? Social development? Citizens wellbeing? Equality? Education. All your money mnarusha to few countable projects forgetting a country is more than just an sgr that will serve only a few of the citizens
Mnatuogopa Sana, hahahahaTunawafukuzia nini, sisi hatuna roho za kichawi na kitoto, kwani wakenya ndio hawako tanzania?



Thats funny tangu lini Kiswahili ikawacha kuwa a costal language ikawa lugha ya watanzania? Sasa hivi Kenya waanze kuongea kiharabu utasema kiharabu Ni lugha ya wakenya? Chenye unatumia Wacha kabisa Kiswahili Kwanza Somali Kenya Tanzania Hadi Mozambique all that coastal line invented Kiswahili Tanzania waliamua tu kukitumia as a national language si Chao Hilo ukumbuke... Kisukuma au kichaga au sijui lugha yako ndo yenyuKiswahili ni lugha ya Tanzania, Kiingereza ni lugha ya Waingereza![]()
Kwahiyo ombaomba pia mnawaonea wivu kwamba wanachukua nafasi za wakenya mnataka kuwafukuza?