nawakumbusha tuuDar huwezi pata street organized hivi. Line of trees with walkways, shops, restaurants and offices on both sides.![]()
Acha kuongelea vitu usivyovijua bro, hiyo barabara ndio inaitwa Morogoro road, inatokea katikati ya jiji, eneo linaitwa uhasibu university, mpaka kufika hapo ni 13 km long from CBD, ambapo inaenda mpaka Kimara mwisho ikiwa na six lanes (mbili katikati ni kwaajili ya BRT na nne kwaajili ya magari ya kawaida) and some section inaongezeka to 8 lanes, inafika mpaka Kimara mwisho, kuanzia Kimara mwisho ndio inaungana na barabara inaitwa Kimara-kibaha high way 19km .. kwahyo usijifanye unaijua Dar baba 😂😂😂Is this the Rironi road that will end up at Mau Summit?
i am sure that spot cant go beyond 800 metres......Thika road is a 45 km 12 lane superhighway
Y are you lying?You need to come to Dar es Salaam and see the changes by your clear eyes, Dar city center is no longer using those vipanyas rides


Hii hata sio street lakini tunakuelewa.
Mzee hivyo vipanya vimekatazwa mjini kitambo sana .. labda uniambie hizo mini buses zndio zinaruhusa ya kuingia mjini.. sina sababu ya kukudanganya mzeeY are you lying?![]()
Hiyo ni street mzee hiyo mitaa ndio panaitwa UpangaHii hata sio street lakini tunakuelewa.
![]()
Dar streets mingi hazina benches, munaleta viti za plastic kutoka home. 🤣🤣🤣🤣
![]()
Kwani umeishiwa na ndio tunaanza. Na picha zako mingi hata ni roads ambazo zinaelekea au kutoka CBD sio streets au avenues.Hiyo ni street mzee hiyo mitaa ndio panaitwa Upanga
Hii hata sio street lakini tunakuelewa.
![]()
Dar streets mingi hazina benches, munaleta viti za plastic kutoka home. 🤣🤣🤣🤣
![]()
STREET funiture ziko wapi kwa hizi picha?
Nimeona pia picha za tangazo la Vodacom enzi hizo wanatumia rangi ya blue kama utambulisho wao.Mzee hivyo vipanya vimekatazwa mjini kitambo sana .. labda uniambie hizo mini buses zndio zinaruhusa ya kuingia mjini.. sina sababu ya kukudanganya mzee



Leta ushahidi kwamba tuko nyuma yenu kwa hayo mambo niliyotaja. Mimi naweza kukuwekea ushahidi kwamba tuko mbele yenu kwa hizo vitu zoteRudia majibu yangu zwazwa wewe, huo utumbo wote uliotaja nimeujibu .. hakuna kitu mnatuzidi mzee .. sijui iyo ICT Ila kila ulichotaja hapo mko nyuma yetu tena by far
I think hii ni western bypass Kama sijakoseaIs this the Rironi road that will end up at Mau Summit?
Mmh umeshaanza nongwa .?Kwani umeishiwa na ndio tunaanza. Na picha zako mingi hata ni roads ambazo zinaelekea au kutoka CBD sio streets au avenues.
Zoom hiyo picha ya kwanza juuSTREET funiture ziko wapi kwa hizi picha?
Hapa ungeona dreamhouses za kufa mtu kushoto kulia in the most disorganized mannerOutskirts of Nairobi some 25 km from CBD.
Don YF KANAIRO Nicxie KENPAULITE Eti hii picha ingekua Dar sahii tungekua tunaona nini kila pahali?😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
![]()
Nope. Western bypass and Southern bypass zinajoin hapo mbele at place called Gitaru, This one goes straight all the way to Uthiru then it becomes Waiyaki way.I think hii ni western bypass Kama sijakosea