Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only in Kanairo.
43894847494_be7114bc11_k_d.jpg
Pale pale [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums-1518178343.jpg
 
Watz mmeona ujinga wa Wakenya? Ni kwamba wanapiga picha eneo moja lkn different angles, cc tunapost maeneo tofauti tofauti lkn wao eneo moja different angles, hiki ndicho kitu nawasifu wakunya kwenye picha.

Akipost kaeneo kamoja anakuja kumalizia na vi apartments vya upande upande kamaliza, yn Tz ingekuwa Kenya hawa jamaa wangeistua dunia na maphoto ya BRT, cable bridges and modern SGR.
 
Watz mmeona ujinga wa Wakenya? Ni kwamba wanapiga picha eneo moja lkn different angles, cc tunapost maeneo tofauti tofauti lkn wao eneo moja different angles, hiki ndicho kitu nawasifu wakunya kwenye picha.

Akipost kaeneo kamoja anakuja kumalizia na vi apartments vya upande upande kamaliza, yn Tz ingekuwa Kenya hawa jamaa wangeistua dunia na maphoto ya BRT, cable bridges and modern SGR.
Hawana chakuonyesha zaidi na Mimi nimedhamiria kuishi nae mpaka max
 
Watz mmeona ujinga wa Wakenya? Ni kwamba wanapiga picha eneo moja lkn different angles, cc tunapost maeneo tofauti tofauti lkn wao eneo moja different angles, hiki ndicho kitu nawasifu wakunya kwenye picha.

Akipost kaeneo kamoja anakuja kumalizia na vi apartments vya upande upande kamaliza, yn Tz ingekuwa Kenya hawa jamaa wangeistua dunia na maphoto ya BRT, cable bridges and modern SGR.
Wacaha excuse za kipuzi kama umeishiwa, ghorofa inaweza onekana hata 3 kilometers away. Mumezunguka hadi beach bado muingie kariakor sasa. 😂😂😂😂
 
🤣🤣🤣 Eti Miaka tisa, hizi hata sahii bado ziko Dar.

Image
Hapo kuna vipanya hapo yani hivi 👇
6349746747_14de292000_o.jpg
.. sisi hatuwezi kuongea uongo mzee ndio kitu usichojua .. DSM hakuna vipanya kabisa vilishapigwa ban long time ago.. vitu utakutana navyo ni BRT buses na hizi mini buses tu 👇
daladala-data.jpg
vipanya tulishasahau vinafanaje
 
Wacaha excuse za kipuzi kama umeishiwa, ghorofa inaweza onekana hata 3 kilometers away. Mumezunguka hadi beach bado muingie kariakor sasa. 😂😂😂😂
Umeanza na mbwe mbwe kibao upepo ukakuishia njiani, unapost mitaa ilile kila wakati 😂😂😂😂 Nairobi ni tinny town tu mzee, najua tungeendelea zaidi ungeanza kupost estates 😂😂 na high ways
 
Hapo kuna vipanya hapo yani hivi 👇View attachment 2048011.. sisi hatuwezi kuongea uongo mzee ndio kitu usichojua .. DSM hakuna vipanya kabisa vilishapigwa ban long time ago.. vitu utakutana navyo ni BRT buses na hizi mini buses tu 👇View attachment 2048015vipanya tulishasahau vinafanaje
Mumekubali si mlikua mumekataa. 😂😂😂 Lazima mkimbzwe ndio mukubali, sisi hatujawai kata, kwanza tunapenda our matatu culture.
 
Back
Top Bottom