Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hiyo wao Ndio hawajawekeza kwenye afya na miundombinu? 😂😂

Sgr si mnasema ni fully funded by the government na ina gharama ya mabilioni ya dola? Inawezekanaje tunashindwa kuwa na space program?

Excuses juu ya excuses. Tanzania bado ni sleeping giant. Na pia wenzetu wanajaribu kufanya maendeleo kwenye sekta nyingi zaidi yetu. Technology and innovation ni muhimu mno kwenye ukuaji wa uchumi Na japokuwa bado wanaanza, ninawapa pongezi maana Sio jambo dogo.
Kuwa upinzani sio ndio upinge kila kitu akili ndogo wewe, 😂😂😂.. hivi kwa akili zako, kuna nchi imewekeza na inaendelea kuwekeza kwenye masuala ya SGR hapa EA kuliko tz 1500km of rail roads? Kwenye masuala ya Anga je.? Sisi tumeshanunua ndege 17 jirani anamiliki ndege tatu chakavu, Kwenye mabarabara na Madaraja je.? Kwenye huduma za afya je.? Hizi sector ndio kipaumbele chetu, Wachina wanasema wao wanasema "ukitaka maendeleo tengeneza barabara kwanza" je kuna mkoa hapa tz kwasasa ambao haufikk kwa lami.? Ni taifa gani hapa EA ambalo serikali yake imewekeza kwenye nyanja zote hizo nilizotaja kwa weledi na ubunifu zaidi.? Hao wakina kenya si wanaingia mikataba ya hovyo kila siku.? Je nani Kati yetu yupo na kesho bora.? .. wewe jamaa uache kuwaza na matako...
 
ebu leta moja uone wewe ndio mpumbavu sahii
2(0).JPG
4+-+2021-09-24T094457.673.JPG
Screenshot_20211217-011701_1.jpg
 
Hizo weighbridges ni za kujaza tu foleni, not efficient siku hizi mambo ni virtual unapita kama umeenda, kama ukona overload unashikiwa mbele, efficiency kubali hamna
Sasa mbona unazungumzia kitu kilekile alafu unasema hatuna.? Heb leta kwanza iyo moja ambayo umeshaanza kufanya kazi tuione
 
Wakenya hamna akili, kwahiyo unataka kusema tulikuwa hatutumii nguzo za zege, alafu hilo tangazo ni la enzi za Magufuli kwamba iliamriwa kuanza kutumika nguzo za zege kwa asilimia kubwa co kama zamani nguzo za zege zilitumiwa kwa asilimia ndogo kama huko kwenu, now mijini na maeneo yaliyochangamka wanaondoa nguzo za miti wanaweka za zege, nyie kwenu kuna nguzo za miti mpk CBD kama unabisha jikune uone.
Tuonyeshe nguzo za zege Tz.
 
Since niliona nikama ukona uelewa ya civil engineering it means u might have some knowledge na mambo ya tenders, mambo za poles whether wooden or concrete you know a company in kenya can supply in tanzania and vice versa, tanzanians would supply wooden poles to kenya at a time demand was too high, but kplc started replacing the wooden poles with concrete a while back, a company called CP Power east africa has been supplying for tanesco for sometime, but ofcourse they cant supply everything
Angalia video minute ya 1 tu waziri anasema nguzo za zege wanazitoa kwenye viwanda vinne vilivyopo Tanzania, kama una ushahidi Kenya inaingiza concrete poles Tanzania we weka tu.
 
Every tender floated for power poles has a ration of 70% concrete and 30% wooden
Taratibu you starting chewing your own words, si mlisema ni marufuku kabisa, wooden poles are completely prohibited 20 years ago? Saivi ni 30% tu wakati hapa wooden poles kwenye procurement versus concrete, wooden zinaongoza!

Screenshot_20211216-202112.png
 
Mkuu, Safaricom na Tigo zote pia kampuni za simu.

Unachodhani mnacho Tanzania, zidisha mara tano, minimum, ili ufikie Kenya.

Hiki kiwonder kikiletwa Kenya kitatengeneza post za sengenge. 🤣 🤣
Tumeshakubaliana Tanzania ina 4 concrete poles manufacturers na hazitoki Kenya au bado?
 
I have traveled far and wide, both in Kenya and outside.
Sijawahi pata Mtanzania anaye fanya biashara Kenya ama nchi ingine ya nje.

I've met Ugandans, Congolese, even Rwandese and of course Somali and Nigerians.
Wabongo bure.
Zero entrepreneurial spirit.

So, hakuna wakulalamika amefungiwa biashara Kenya. Labda omba omba.
Hakuna mtanzania atakuja kufanya biashara Kenya, ila tembea nchi za SADC

Msikilize waziri anaeleza nchi zipi Watanzania wanawekeza

 
International flights resume in eldoretView attachment 2046555
Wacha ujinga, ninyi wakenya hamna akili hata kidogo, mnaandika vitu msivyovijua, Charter plane inaweza kutua kiwanja chochote, hiyo haina maana kwamba huo uwanja ni International Airport, mfano mzuri ni Goma Airport huko Eastern DRC, kunatua ndege nyingi za misaada ambazo hutokea nje direct, lakini sio international Airport kwasababu hakuna passenger planes routes.
 
Back
Top Bottom