I think he meant the oppositeKuni sahii tuko karibu kuzireplace zote. Mko nyuma kama kawaida. Dar hata mulika mwizi hakuna.
I think he meant the oppositeKuni sahii tuko karibu kuzireplace zote. Mko nyuma kama kawaida. Dar hata mulika mwizi hakuna.
Walipewa chance wamalize stock ju the transition was abrupt, read the link. Pengine hujui meaning ya local MANUFACTURES.Kwani local supplier wana deliver concrete instead of wooden? Pamoja ni local suppliers but sourced from Tanzania
Lol.
Kojoa ulale. Property of Tanesco, Made in Kenya.
After replacing nearly all our wooden electric poles with concrete 10 years ago, we started exporting our excess supply across the region.
Hiki kiwanda kipo Kenya?
Tena.? 😂😂😂 Sindio wewe umedai kwamba hamtumii tena nguzo za umeme za miti na mko karibu kumaliza kufanya replacement kwa nguzo za zege.? 😂😂😂 Sasa imekua mnatumia lakini sio kutoka outside the country.?Local suppliers pekee, hakuna kuagiza nje vile ulikua unadanganya eti zinatoka bongo.
Wewe ni mgeni hapa, pewa kiti kwanza👇👇mkuu nikuambie mara ngapi kuwa niko kibera au unafikiri naongopaView attachment 2046192View attachment 2046190View attachment 2046191
Mnatushinda kwenye nini mzee tofauti na kuforce kuonekana wabora.?Duuh, watanzania wanachezea kipigo Cha mbwa kuingia msikitini🤣🤣🤣
Mkuu naomba lugha yao hawa mbwa tupa kule.Heee ajabu kweli, nimepost streets ngapi zenye zipo na NMT.? Nimeishiwa mimi au wewe.?View attachment 2046235 na hizi streets tu za makazi na zote ziko na NMT . street level ya Arusha ni sawa na NAIROBI tu
. .
Sindio, ni stock tunamaliza sasa. 🤣🤣🤣Tena.? 😂😂😂 Sindio wewe umedai kwamba hamtumii tena nguzo za umeme za miti na mko karibu kumaliza kufanya replacement kwa nguzo za zege.? 😂😂😂 Sasa imekua mnatumia lakini sio kutoka outside the country.?
😂😂😂 Unajiskia lakini ulivyokua fala.?Sindio, ni stock tunamaliza sasa. 🤣🤣🤣
Mm nimewawekea mpk CBD ina kuni za umeme, ss waweke wao cbd Dar ina kuni za umemeShida ya hawa watu wako radhi kujiongopea, sasa sijui ni kwanini wanakua hivyo, yani ni kama mgonjwa wa ukimwi anaebisha mbele ya hadhira kwamba sio mgonjwa
![]()










Tree growers? Kwani concrete ulizosema ndio only authorized poles 20 years ago hugrow kama trees?Walipewa chance wamalize stock ju the transition was abrupt, read the link. Pengine hujui meaning ya local MANUFACTURES.
![]()
Kenya Power’s shift to concrete poles leaves tree growers in limbo
According to KWPA Chairman George Ali, operations of the remaining 36 are in limbo.nation.africa
Ukiwapiga spana zaidi wanaibuka na id nyingine kukwepa aibu 😄😄😄😂😂😂. Hawa jamaa bhana, wakiona tunawapiga nondo wanakimbilia kwenye eti wao ndio wanatufanyia mambo yetu 😂😂😂 wapo hovyo sana hawa
😅😅😅 Hao jamaa hawakubali kushindwa, hawatakosa la kusema pia, nilichojifunza kuhusu hii thread mkenya kamwe hatokaa akubali kuzidiwa na Tz kwenye chochote kile hata kama kinaonekana wazi ..Mm nimewawekea mpk CBD ina kuni za umeme, ss waweke wao cbd Dar ina kuni za umeme![]()