Unajifanya kujua sana na hakuna kitu unajua mr international radiologist. 🤣🤣🤣🤣Hio Cathlab yenu ni ya kawaida tu, haikosi ni machine ya siemens na zimejaa hapa Africa hata Uganda iko. Kenya ziko kadhaa. Hii ya Mombasa inatumia machine ya Philips Azunion 7c20 ceiling mounted ambazo ziko mbili tu hii Africa mzima. Kama unavyo ona kwa the map below Kenya ilikua na 5 TZ ikiwa na 2 wakati hii data ilikua inachukuliwa in 2018 sahii Kenya ziko more than 10 probably.Hii Catheterization laboratory (Cath-lab) tumekua tukizitumia huu ni mwaka wa tano Sasa Serikali imefunga mtambo wa kisasa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wenye thamani ya shilingi bilioni 4.6
Tafadhali timiza ahadi yako ya kufunga "account" yako Kama ulivyoahidi
Katika advanced Health Services, Tanzania ni nchi ya tatu hapa Africa baada ya South Africa na Egypt, ninyi wakenya msijaribu kabisa kujilinganisha na Tanzania, never again, stupid![]()
Where did these divinely poles go after this day of intervention? 😄We started using this poles kitambo Sana even if there are some remaining za Miti Ni chache Sana but one rule is there is no new pole that comes up that is wooden
Hiki kiwanda kipo Kenya?Lol.
Kojoa ulale. Property of Tanesco, Made in Kenya.
After replacing nearly all our wooden electric poles with concrete 10 years ago, we started exporting our excess supply across the region.
Na bado hawajaona vile cranes za affordable housing zimejaa Ngara. Africa's Financial Center under construction.lots of highrise apartments coming up around nairobi
View attachment 2046471View attachment 2046462View attachment 2046464View attachment 2046466View attachment 2046463View attachment 2046467View attachment 2046468View attachment 2046470
Hahahaha, hiyo yetu is the most recent and more advanced technology, 3D and the only one in East Africa, soma vizuri hayo maelezo na ufananisho na hiyo yenu very old outdated machineUnajifanya kujua sana na hakuna kitu unajua mr international radiologist.Hio Cathlab yenu ni ya kawaida tu, haikosi ni machine ya siemens na zimejaa hapa Africa hata Uganda iko. Kenya ziko kadhaa. Hii ya Mombasa inatumia machine ya Philips Azunion 7c20 ceiling mounted ambazo ziko mbili tu hii Africa mzima. Kama unavyo ona kwa the map below Kenya ilikua na 5 TZ ikiwa na 2 wakati hii data ilikua inachukuliwa in 2018 sahii Kenya ziko more than 10 probably.
https://www.researchgate.net/figure...Saharan-Africa-in-2018-Adopted_fig1_349166224
![]()



Enda ulale keyboard warrior , hio yenu ni advanced kwa mdomo tu, huna aibu kuongea na mkona cath lab mbili nchi mzima. 🤣🤣🤣Hahahaha, hiyo yetu is the most recent and more advanced technology, 3D and the only one in East Africa, soma vizuri hayo maelezo na ufananisho na hiyo yenu very old outdated machine
Ninarudia tena, katika Africa Tanzania is number three just behind South Africa and Egypt, never again try to compare Tanzania and Kenya in advanced Health care services, I repeat, never again, stupid kabisa.
Kuni sahii tuko karibu kuzireplace zote. Mko nyuma kama kawaida. Dar hata mulika mwizi hakuna. 🤣🤣🤣🤣
Hahahaha, hiyo yetu is the most recent and more advanced technology, 3D and the only one in East Africa, soma vizuri hayo maelezo na ufananisho na hiyo yenu very old outdated machine
Ninarudia tena, katika Africa Tanzania is number three just behind South Africa and Egypt, never again try to compare Tanzania and Kenya in advanced Health care services, I repeat, never again, stupid kabisa.
Not even nearHahahaha, hiyo yetu is the most recent and more advanced technology, 3D and the only one in East Africa, soma vizuri hayo maelezo na ufananisho na hiyo yenu very old outdated machine
Ninarudia tena, katika Africa Tanzania is number three just behind South Africa and Egypt, never again try to compare Tanzania and Kenya in advanced Health care services, I repeat, never again, stupid kabisa.
Local suppliers pekee, hakuna kuagiza nje vile ulikua unadanganya eti zinatoka bongo.
{What} is Tanzania?😂😂😂😂Not even nearView attachment 2046506
Kwani local supplier wana deliver concrete instead of wooden? Pamoja ni local suppliers but sourced from TanzaniaLocal suppliers pekee, hakuna kuagiza nje vile ulikua unadanganya eti zinatoka bongo.
Legit Nigeria ndio nani?tanzanians just live in their own world that they know ofView attachment 2046510View attachment 2046511