Hivi Tanzania ina space program? Maana Kenya inayo. Pia wakenya wamesha-launch a nano satellite into space. It’s orbiting Earth as we speak, and the whole project cost less than $2 million. Tanzania inashindwa wapi? Mbona hii nchi imelala kiasi hiki? What went wrong??
Niliongea juzi tu hapa kuhusu uhitaji wa wataalamu wengi zaidi nchini. Na nikatoa suggestion ya exchange programs za vyuo vyetu na vya nje ya nchi, au at least joint educational programs. Haya, wenzetu wanashirikiana na foreign universities ku-launch satellites huku sisi tupo usingizini. Why? Ndio Maana hata kwenye innovation index bado wanatupita.