Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

All the pictures you have posted are summarized by this one aerial view shot.

View attachment 2040829
naombeni na hii muhifadhi 😂😂 Sama boy 255 👇👇👇👇
0DE6BA31-E8CA-4BE4-A7BE-D35733830FB4.jpeg
 
Sasa kwani wanapendelewa au ni formula ya mgawanyo ndivyo ilivyo? Wewe lalamikia fomula sio kulalamikia anaefuata fomula.
Wacha upuzi...kama unaona ni sawa basi mirembe inakuita, huwezi fananisha hii serikali na yoyote iliyo pita , kwa ground mambo ni mbaya sana ww piga domo tu humu
 
Wacha upuzi...kama unaona ni sawa basi mirembe inakuita, huwezi fananisha hii serikali na yoyote iliyo pita , kwa ground mambo ni mbaya sana ww piga domo tu humu
Of course ni sawa kwani wewe umeona Ubaya gani tuanzie hapo kwanza isije kuwa chuki zako ndio mbaya maana huko ground hauko peke yako 😄😄
 
😂😂😂 Kumbe ni jengo moja tu ndio limemis kwenye picha.? 😂😂😂😂
Onyesha Prism Tower in that your picture.
Onyesha Parliament Tower
Onyesha CBK Tower
Onyesha Hazina Tower.
Onyesha Upper hill Chambers
Onyesha KCB Tower
Onyesha UoN Tower
Onyesha Britam Tower
Onyesha UAP Tower.
 
Back
Top Bottom