Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zanzibar mchana🤣🤣🤣
images (14).jpeg
 
Sidhani kama Unaakili timamu wewe, sasa boarding shade vinahusiana nini na urefu wa treni.? Umeshaiita boarding shade, hiyo ni sehemu ya kupandia treni tu haina uhusiano wowote na treni kuwa ndefu au fupi..
Wewe ndo hunaakili, so inamaanisha some passengers will alight/ aboard treni wakiwa nje juu trains have doors across its length.
Sama boy 255
 
Wewe ndo hunaakili, so inamaanisha some passengers will alight/ aboard treni wakiwa nje juu trains have doors across its length.
Sama boy 255
😂😂😂 Heb acha kuzungumza upumbavu wako watu watakucheka, kwamba abaria watajipanga mstari mnyoofu kusubur waingie ndani ya treni au.? Umeshawahi kupanda treni.? Mana isijeikawa nabishana na chizi ambalo treni zenyew linaziona kwa picha na video
 
Wakenya washamba, hawajawahi kuona hii technology, KENPAULITE umeona

Sent using Jamii Forums mobile app
unajua shida kubwa ya wakenya wao huamini kile wanachokifanya wao ndio technology ya kisasa zaidi kumbe ndio wako nyuma miaka 50 africa hii 😂😂😂😂 we chukua mfano mdogo kwenye SGR ya mchina yani wametandikwa kias kwamba hata mradi wenyewe imebakia kua white elephant
 
😂😂😂 Heb acha kuzungumza upumbavu wako watu watakucheka, kwamba abaria watajipanga mstari mnyoofu kusubur waingie ndani ya treni au.? Umeshawahi kupanda treni.? Mana isijeikawa nabishana na chizi ambalo treni zenyew linaziona kwa picha na video
Ukisoma hapa ndio utajua hawa watu hio reli Yao ndio reli ya Kwanza wanaona.
 
😂😂😂 Heb acha kuzungumza upumbavu wako watu watakucheka, kwamba abaria watajipanga mstari mnyoofu kusubur waingie ndani ya treni au.? Umeshawahi kupanda treni.? Mana isijeikawa nabishana na chizi ambalo treni zenyew linaziona kwa picha na video
Buda hujanielewa kabisa, boarding platform ya pugu station ni ndogo sana, swali ni je kuna uwezekano mkapandia treni nje juu train ya kawaida inashinda urefu wa pugu.
 
Where did you read that Emali station Ni kwa ajili ya abiria tu? Ama mshaanza Kutoa maneno vichwani as you always do? Emali station, just like all other stations along that line has huge parking spaces as you can see below
View attachment 2033909
And thanks for confirming that you only have two big stations along the entire stretch. Sisi stations zetu zote ni kubwa
yaah ,hizo station ni kubwa jinga,

ni sawa sawa na kipindi cha nyuma unakutana na tablet hilo ila ukichek uwezo wake internal ni 2GB,

au enzi hizo wakati computer inavumbuliwa
 
Back
Top Bottom