Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,077
- 4,523
Nikiwa Rais au mshauri wa Rais, Tanzania itapanda hadi namba 1 Afrika.
Kenya ni kazi ngumu sana mtu kuwa good at Math and Science kwa sababu ya wepesi wa madarasa yao
Nikiwa Rais au mshauri wa Rais, Tanzania itapanda hadi namba 1 Afrika.
Kweli mkuu tunaitaji wapigaji picha wazuri kama hawa
❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Kuhusu suala la station kutokuwa na sehemu ya mizigo ni suala ambalo lipo wazi kabisa nimefanya research na nikagundua kwamba Emili station ni kwaajili ya abiria tu.. hivyo basi tukizungumzia facilities, Pugu Iko vizur ukilinganisha na Emali station, in the other hand tukizungumzia Uzuri Emili station wins.. There for kati ya hizi station mbili kila moja iko na ubora wa namna yake, case closed..Pugu ipo Dar. Emali is a small town in makueni county. How do you expect parking sizes za hizo vituo viwili ziwe same? Niulize parking ya Nairobi station nikuonyeshe au ya Mombasa.
Hili la mizigo sijui ni kwa nini unasisitiza. If you have proof that it wasn't meant for mizigo leta evidence. Otherwise this empty rhetoric talk just keep it to yourself.
Siku mkimaliza kujenga hizo stations zenu "kubwa" njoo kwenye meza ya mazungumzo. Kwa sasa tumewapiga ten nil kwa stations
Hehehe, zile majengo tano kandokando ya Barbara🤣🤣
Kuhusu suala la station kutokuwa na sehemu ya mizigo ni suala ambalo lipo wazi kabisa nimefanya research na nikagundua kwamba Emili station ni kwaajili ya abiria tu.. hivyo basi tukizungumzia facilities, Pugu Iko vizur ukilinganisha na Emali station, in the other hand tukizungumzia Uzuri Emili station wins.. There for kati ya hizi station mbili kila moja iko na ubora wa namna yake, case closed..
Tukiamia kwenye station kubwa, DSM station vs NAIROBI station .. DSM station inaipiga Nairobi station hands down.. kama unabisha twende ground
Ati Far es Salaam station ipige Nairobi wakati Nairobi ni mara Tano ya Dar kwa ukubwa. HeeeheeKuhusu suala la station kutokuwa na sehemu ya mizigo ni suala ambalo lipo wazi kabisa nimefanya research na nikagundua kwamba Emili station ni kwaajili ya abiria tu.. hivyo basi tukizungumzia facilities, Pugu Iko vizur ukilinganisha na Emali station, in the other hand tukizungumzia Uzuri Emili station wins.. There for kati ya hizi station mbili kila moja iko na ubora wa namna yake, case closed..
Tukiamia kwenye station kubwa, DSM station vs NAIROBI station .. DSM station inaipiga Nairobi station hands down.. kama unabisha twende ground
Wow..!! ndio ujue sasa kama station ni ya kinyama mpaka unalinganisha na mall.. very good
We kwa kuongeza namba ni nani asiekujua wewe..? Enhee haya kwamba NAIROBI station ni mara tano kwa ukubwa mbele ya DSM station.?Ati Far es Salaam station ipige Nairobi wakati Nairobi ni mara Tano ya Dar kwa ukubwa. Heeehee
Heeeheee, toa hapa blog sources. Let's go to reputable rankings
Source Scimago Jr .. 😂😂😂 yani we ni lichizi la mwishoHeeeheee, toa hapa blog sources. Let's go to reputable rankings
View attachment 2034001
SJR - International Science Ranking
www.scimagojr.com
So unataka tuamini blog over.a science based institution?Source Scimago Jr .. 😂😂😂 yani we ni lichizi la mwisho
That greenery Mahn 🔥Nairobbery, as seen from the Village Market in Gigiri. You gotta love this city View attachment 2033864View attachment 2033865
Atleast anaona vile Street lights zinakaa si hio dar ya gizaNorthern Kenya is sparsely populated. That's the point I was trying to drive home.
Back to your picture, does it mean that hizo maeneo (north of that line you've drawn) hayana stima? So Garissa, Turkana, Isiolo, Mandera, Marsabit na Moyale counties hakuna stima? Is that your reasoning?
These are night images of different towns in northern Kenya where you believe there's no electricity simply because you looked at a certain map!
View attachment 2033717View attachment 2033720View attachment 2033721View attachment 2033722View attachment 2033723View attachment 2033725View attachment 2033726View attachment 2033727View attachment 2033728View attachment 2033729View attachment 2033730View attachment 2033731
So hizo si stima?
If you want to know how short Tanzanian trains will be, just look at the boarding shade and then compare na za Kenya. I doubt hata kama hizo trains zao zitabeba watu watu 15o per trip.Hata kwa kuangalia tu pics za juu, hicho kituko chenu iliyopa Dar unawezalinganisha na Emali.
Look at these two aerial photos of the two stations (both complete).
View attachment 2033854View attachment 2033855
Do you need a third eye to see the glaring difference?
Best city kwenye nini, infrastructures, majengo, pori au slums? Hebu weka hiyo link inayosema nyie ni best.


Huwaami mzeeSidhani kama Unaakili timamu wewe, sasa boarding shade vinahusiana nini na urefu wa treni.? Umeshaiita boarding shade, hiyo ni sehemu ya kupandia treni tu haina uhusiano wowote na treni kuwa ndefu au fupi..If you want to know how short Tanzanian trains will be, just look at the boarding shade and then compare na za Kenya. I doubt hata kama hizo trains zao zitabeba watu watu 15o per trip.
View attachment 2034030
View attachment 2034032
Zanzibar usiku 😍👇Atleast anaona vile Street lights zinakaa si hio dar ya giza