Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivyo kuna nyingine kando na hiyo? I didn't know there are two Pugu sgr stations. Hebe leta hiyo pugu nyingine tuone
Hii hapa na electric cables tayari
Screenshot_20211205-111030.jpg
Screenshot_20211205-111143.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanataka kila sehemu tuweke ma station makubwa hata porini, wanasahau cc co wehu kama wao waliojengewa ma station bila mpangilio wowote ili kuongeza cost.

Pia kwasababu hawana akili wanashindwa kuelewa kwamba treni zetu zitakuwa na kasi kubwa mara mbili ya mitungi yao so hakutakuwa na que kubwa ya kusubiri train mana Fasta imefika zen fasta ime deliver unlike their charcoal trains.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo bwana Nicxie unachotaka kusema ni kwamba kwenye hii👇pichaView attachment 2033584North, North West and EAST of kenya, hakuna watu wanaishi hayo maeneo.?
Northern Kenya is sparsely populated. That's the point I was trying to drive home.

Back to your picture, does it mean that hizo maeneo (north of that line you've drawn) hayana stima? So Garissa, Turkana, Isiolo, Mandera, Marsabit na Moyale counties hakuna stima? Is that your reasoning?

These are night images of different towns in northern Kenya where you believe there's no electricity simply because you looked at a certain map!
Screenshot_20211205-140413~2.png
Screenshot_20211205-140500~2.png
Screenshot_20211205-134314~3.png
Screenshot_20211205-134338~2.png
Screenshot_20211205-140239~2.png
Screenshot_20211205-134451~2.png
Screenshot_20211205-134513~2.png
Screenshot_20211205-134854~3.png
Screenshot_20211205-135236~3.png
Screenshot_20211205-135250~2.png
Screenshot_20211205-135340~3.png
city-mn.jpg


So hizo si stima?
 
Kama mna surplus ya Mw zaidi ya 1000 mbn mkunya mwenzio anasema hamkujenga electrified SGR kwasababu umeme hautoshi, unakubaliana naye?

Sent using Jamii Forums mobile app
La. Kwa maoni yangu, hatukujenga SGR ya umeme kwa sababu ingekuwa pesa nyingi zaidi kwa mpigo. So tuliamua kuanza na diesel ila baadaye itakuwa upgraded to electric. Nadhani bei kali ya mchina ndio ilifanya tukasusia electric kwa sasa.
 
Tangu lini mimi nikaongea bila facts? Sawa naleta facts lakini najua utaruka na kuanza excuses nyingi tu. Subiri nakuja.
Tangu lini mimi nikaongea bila facts? Sawa naleta facts lakini najua utaruka na kuanza excuses nyingi tu. Subiri nakuja.
La. Kwa maoni yangu, hatukujenga SGR ya umeme kwa sababu ingekuwa pesa nyingi zaidi kwa mpigo. So tuliamua kuanza na diesel ila baadaye itakuwa upgraded to electric. Nadhani bei kali ya mchina ndio ilifanya tukasusia electric kwa sasa.
Hapa ni maoni yako au FACT?!!!
 
Back
Top Bottom