The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
By Martin MwitaSo we've already doubled their total production! I wasnt aware of this. Anyway, the figures I gave zilikuwa za 2018









Sent using Jamii Forums mobile app
By Martin MwitaSo we've already doubled their total production! I wasnt aware of this. Anyway, the figures I gave zilikuwa za 2018









😀😀😂 hahaha unaona sasa? Huu ndio huwa mchezo wenu. Huwa mkishikwa kwenye pumbu mnaanzaga kurukaruka kama ngamia anayetaka kufariki. Usijaribu kutafuta pa kutokea.Who is Martin Mwita by the way? Is this a source from reputable organization?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lenu ujuaji mwingi. Kujidai watu wa facts wakati mara nyingi mnapiga porojo tu. Halafu mimi sio dogo wako pumbavu wewe!







So you were stupid by the time Uhuruto launches thisIn 2018 our surplus was 600MW. That wasn't enough to enable us electrify our sgr line







600 MW inatosha kwa sana. Nadhani kichwa kimoja cha treni japo inategemea lakini nyingi zinahitaji 10 MW pekee ili kusukuma mizigo. Hata tukipatia kila kichwa cha treni 20 MW halafu tuseme tumeimport vichwa kumi basi hio ni 200 MW pekee. So point yangu inabaki pale pale.So umebadilika kwamba hamkujenga electrified SGR kwasababu umeme hautoshi au sio?
Sent using Jamii Forums mobile app
So it's clear that Kenya is now relying on private people's perspectives to disclose public issues.😀😀hahaha unaona sasa? Huu ndio huwa mchezo wenu. Huwa mkishikwa kwenye pumbu mnaanzaga kurukaruka kama ngamia anayetaka kufariki. Usijaribu kutafuta pa kutokea.
Cc Nicxie600 MW inatosha kwa sana. Nadhani kichwa kimoja cha treni japo inategemea lakini nyingi zinahitaji 10 MW pekee ili kusukuma mizigo. Hata tukipatia kila kichwa cha treni 20 MW halafu tuseme tumeimport vichwa kumi basi hio ni 200 MW pekee. So point yangu inabaki pale pale.
I have decided to ignore him. Sijui alikuwa anataka mwandishi awe na jina la kisukuma au kinyamwezi ndio aridhike😀😀😂 hahaha unaona sasa? Huu ndio huwa mchezo wenu. Huwa mkishikwa kwenye pumbu mnaanzaga kurukaruka kama ngamia anayetaka kufariki. Usijaribu kutafuta pa kutokea.
Don't you think that would stress our emergency energy requirements?600 MW inatosha kwa sana. Nadhani kichwa kimoja cha treni japo inategemea lakini nyingi zinahitaji 10 MW pekee ili kusukuma mizigo. Hata tukipatia kila kichwa cha treni 20 MW halafu tuseme tumeimport vichwa kumi basi hio ni 200 MW pekee. So point yangu inabaki pale pale.
Mgonganishaji.
KimeumanaDon't you think that would stress our emergency energy requirements?










Yes it will. In fact it does not make sense to use this emergency reserve because it is very expensive power and it should not be used to run trains. So that surplus is only for emergency because it is too expensive to be used for daily activities like running trains.Don't you think that would stress our emergency energy requirements?
So that still validates my earlier sentiments that the surplus energy we have isn't enough coz most of it comes from expensive sources like you've noted. In my opinion, I think this is the reason why the government resorted not to electrify our sgr coz the surplus we had wasn't sustainable in the long run. It was meant just for short-term emergency issues that may arise from time to timeYes it will. In fact it does not make sense to use this emergency reserve because it is very expensive power and it should not be used to run trains. So that surplus is only for emergency because it is too expensive to be used for daily activities like running trains.
Umesoma mpaka darasa la ngapi.? Ulielewa nilichokua namaanisha.? Hata iweje station iwe nzuri zaidi au lahasha but ubora wa comparison iwe fair, sio unapost station iliyoisha kujengwa halafu unafanya comparison na boma (jengo ambalo haijaisha kujengwa) ili hali boma lenyewe lilishaisha kujengwa na picha zipo..pugu station hii 👇kwa akili zako unaona hicho kistation ni cha kulinganishwa na emali station???
I agree too.So that still validates my earlier sentiments that the surplus energy we have isn't enough coz most of it comes from expensive sources like you've noted. In my opinion, I think this is the reason why the government resorted not to electrify our sgr coz the surplus we had wasn't sustainable in the long run. It was meant just for short-term emergency issues that may arise from time to time
Hata kwa kuangalia tu pics za juu, hicho kituko chenu iliyopa Dar unawezalinganisha na Emali.Umesoma mpaka darasa la ngapi.? Ulielewa nilichokua namaanisha.? Hata iweje station iwe nzuri zaidi au lahasha but ubora wa comparison iwe fair, sio unapost station iliyoisha kujengwa halafu unafanya comparison na boma (jengo ambalo haijaisha kujengwa) ili hali boma lenyewe lilishaisha kujengwa na picha zipo..pugu station hii 👇View attachment 2033815View attachment 2033816View attachment 2033822vs Emali SGR stationView attachment 2033833kwahiyo Emali station inashinda kuwa kituo kizuri cha SGR kuliko station ya pugu.. na hivi ndivyo comparison zinafaa kuwa, sio unapoat picha ya boma 👇View attachment 2033839kulinganisha na kitu kilichokamilika, that's not fair.. mnaogopa nini.? .. eti bwana Nicxie.? Na wewe mkaidi Coco reborn eti.? nini mnaogopa.?
Tony kama unataka tuamini kwamba wewe ni mtu wa facts basi kuwa objective katika opinions zako pasipo kuangalia hawa wahuni wa kibera wanaopenda kuongeza 0s ktk kila kitu.Yes it will. In fact it does not make sense to use this emergency reserve because it is very expensive power and it should not be used to run trains. So that surplus is only for emergency because it is too expensive to be used for daily activities like running trains.
Maelezo yangu uliyasoma vizur ukayaelewa.? Nilikua nakuelezea jinsi ya kufanya fair comparison, umenielewa.. .? Na mbona ipo wazi kwamba EMALI station ni nzuri kuliko pugu... Alafu naona unasisitiza kituo Chetu kilichopo Dar 😂😂😂, skia ipo hivi vituo vyote vidogo vya SGR kutoka DSM hadi moro vinafanana hivyo, ukubwa huo huo, rangi na kila kitu.. and naweza pia kujivunia kituo cha pugu kipo na facilities nyingi zaidi ukilinganisha na EmaliHata kwa kuangalia tu pics za juu, hicho kituko chenu iliyopa Dar unawezalinganisha na Emali.
Look at these two aerial photos of the two stations (both complete).
View attachment 2033854View attachment 2033855
Do you need a third eye to see the glaring difference?
Wewe baki na hizi hizi apartments usiingie kwenye mambo makubwa makubwa utaumia, tuko mbali mnoo.Nairobbery, as seen from Village Market in Gigiri. You gotta love this city View attachment 2033864View attachment 2033865