Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

In 2018 our surplus was 600MW. That wasn't enough to enable us electrify our sgr line
So you were stupid by the time Uhuruto launches this
Screenshot_20211205-001949.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
So umebadilika kwamba hamkujenga electrified SGR kwasababu umeme hautoshi au sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
600 MW inatosha kwa sana. Nadhani kichwa kimoja cha treni japo inategemea lakini nyingi zinahitaji 10 MW pekee ili kusukuma mizigo. Hata tukipatia kila kichwa cha treni 20 MW halafu tuseme tumeimport vichwa kumi basi hio ni 200 MW pekee. So point yangu inabaki pale pale.
 
😀😀😂 hahaha unaona sasa? Huu ndio huwa mchezo wenu. Huwa mkishikwa kwenye pumbu mnaanzaga kurukaruka kama ngamia anayetaka kufariki. Usijaribu kutafuta pa kutokea.
I have decided to ignore him. Sijui alikuwa anataka mwandishi awe na jina la kisukuma au kinyamwezi ndio aridhike
 
600 MW inatosha kwa sana. Nadhani kichwa kimoja cha treni japo inategemea lakini nyingi zinahitaji 10 MW pekee ili kusukuma mizigo. Hata tukipatia kila kichwa cha treni 20 MW halafu tuseme tumeimport vichwa kumi basi hio ni 200 MW pekee. So point yangu inabaki pale pale.
Don't you think that would stress our emergency energy requirements?
 
Don't you think that would stress our emergency energy requirements?
Yes it will. In fact it does not make sense to use this emergency reserve because it is very expensive power and it should not be used to run trains. So that surplus is only for emergency because it is too expensive to be used for daily activities like running trains.
 
Yes it will. In fact it does not make sense to use this emergency reserve because it is very expensive power and it should not be used to run trains. So that surplus is only for emergency because it is too expensive to be used for daily activities like running trains.
So that still validates my earlier sentiments that the surplus energy we have isn't enough coz most of it comes from expensive sources like you've noted. In my opinion, I think this is the reason why the government resorted not to electrify our sgr coz the surplus we had wasn't sustainable in the long run. It was meant just for short-term emergency issues that may arise from time to time
 
kwa akili zako unaona hicho kistation ni cha kulinganishwa na emali station???
Umesoma mpaka darasa la ngapi.? Ulielewa nilichokua namaanisha.? Hata iweje station iwe nzuri zaidi au lahasha but ubora wa comparison iwe fair, sio unapost station iliyoisha kujengwa halafu unafanya comparison na boma (jengo ambalo haijaisha kujengwa) ili hali boma lenyewe lilishaisha kujengwa na picha zipo..pugu station hii 👇
Screenshot_20211205-150326_1.jpg
Screenshot_20211205-150348_1.jpg
2313109_DSC_0434.jpg
vs Emali SGR station
136324382_14960632792541n.jpg
kwahiyo Emali station inashinda kuwa kituo kizuri cha SGR kuliko station ya pugu.. na hivi ndivyo comparison zinafaa kuwa, sio unapoat picha ya boma 👇
2012280_Screenshot_20190314-140930.jpeg
kulinganisha na kitu kilichokamilika, that's not fair.. mnaogopa nini.? .. eti bwana Nicxie.? Na wewe mkaidi Coco reborn eti.? nini mnaogopa.?
 
So that still validates my earlier sentiments that the surplus energy we have isn't enough coz most of it comes from expensive sources like you've noted. In my opinion, I think this is the reason why the government resorted not to electrify our sgr coz the surplus we had wasn't sustainable in the long run. It was meant just for short-term emergency issues that may arise from time to time
I agree too.
 
Umesoma mpaka darasa la ngapi.? Ulielewa nilichokua namaanisha.? Hata iweje station iwe nzuri zaidi au lahasha but ubora wa comparison iwe fair, sio unapost station iliyoisha kujengwa halafu unafanya comparison na boma (jengo ambalo haijaisha kujengwa) ili hali boma lenyewe lilishaisha kujengwa na picha zipo..pugu station hii 👇View attachment 2033815View attachment 2033816View attachment 2033822vs Emali SGR stationView attachment 2033833kwahiyo Emali station inashinda kuwa kituo kizuri cha SGR kuliko station ya pugu.. na hivi ndivyo comparison zinafaa kuwa, sio unapoat picha ya boma 👇View attachment 2033839kulinganisha na kitu kilichokamilika, that's not fair.. mnaogopa nini.? .. eti bwana Nicxie.? Na wewe mkaidi Coco reborn eti.? nini mnaogopa.?
Hata kwa kuangalia tu pics za juu, hicho kituko chenu iliyopa Dar unawezalinganisha na Emali.

Look at these two aerial photos of the two stations (both complete).
3023295_Screenshot_20211205-150326_1.jpg
Emali Station.jpg

Do you need a third eye to see the glaring difference?
 
Yes it will. In fact it does not make sense to use this emergency reserve because it is very expensive power and it should not be used to run trains. So that surplus is only for emergency because it is too expensive to be used for daily activities like running trains.
Tony kama unataka tuamini kwamba wewe ni mtu wa facts basi kuwa objective katika opinions zako pasipo kuangalia hawa wahuni wa kibera wanaopenda kuongeza 0s ktk kila kitu.

Ukweli ni kwamba Kenya mlishindwa kujenga electrified SGR kwasababu ya upumbavu na ujinga wa viongozi wenu plus corruption, hata kama mmejenga diesel SGR lkn mmeletewa engines za kizamani kwa gharama ya modern engines, je hapo pia utasema umeme ulikuwa hautoshi.

But again, electrical productivity as well as consumption btn these two countries are almost the same, there is very minute difference between them, but why Tanzania has succeeded to build electrified SGR whereas Kenya has failed?

Kama unatoa opinions ambazo unadhani zitakuwa msaada kwa pande zote mbili basi keep on avoiding biasness.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kwa kuangalia tu pics za juu, hicho kituko chenu iliyopa Dar unawezalinganisha na Emali.

Look at these two aerial photos of the two stations (both complete).
View attachment 2033854View attachment 2033855
Do you need a third eye to see the glaring difference?
Maelezo yangu uliyasoma vizur ukayaelewa.? Nilikua nakuelezea jinsi ya kufanya fair comparison, umenielewa.. .? Na mbona ipo wazi kwamba EMALI station ni nzuri kuliko pugu... Alafu naona unasisitiza kituo Chetu kilichopo Dar 😂😂😂, skia ipo hivi vituo vyote vidogo vya SGR kutoka DSM hadi moro vinafanana hivyo, ukubwa huo huo, rangi na kila kitu.. and naweza pia kujivunia kituo cha pugu kipo na facilities nyingi zaidi ukilinganisha na Emali
 
Back
Top Bottom