Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It’s December and treni za umeme bado hazijaja?

View attachment 2029920

Serikali imesema uongo kuhusu ujio wa hizi treni kama Mara nne. What’s happening? What’s the actual ETA?
Kama Ndege Zimekuja and they are kore costful ..treni hazitasumbua kuja..Issue kubwa ni wamalizie hilo daraja kipande kilichobaki..na kipande cha kuelekea port
then

Wa resume construction of Kinyreze 1 Extension 185 Mw

Wa proceed na kutafuta mkandarasi wa Kinyerezi 3 600mw na Kinyerezi 4 450mw...we cant be depending on hydro..wakati picha tushaanza kuliona..we need more electricity that is no water dependent..
 
National Grid networks between Tanzania and Kenya 😅😅😅

70% ya Kenya haina umeme


images (15).jpeg
images (17).jpeg
 
Kama Ndege Zimekuja and they are kore costful ..treni hazitasumbua kuja..Issue kubwa ni wamalizie hilo daraja kipande kilichobaki..na kipande cha kuelekea port
then

Wa resume construction of Kinyreze 1 Extension 185 Mw

Wa proceed na kutafuta mkandarasi wa Kinyerezi 3 600mw na Kinyerezi 4 450mw...we cant be depending on hydro..wakati picha tushaanza kuliona..we need more electricity that is no water dependent..
I didn’t say that we cannot afford buying electric locomotives. Even the airplanes that we procured touched the Tanzanian soil at their designated time of arrival. Hakukuwa na ubabaishaji. Au umewahi kusikia tarehe ya kupokewa ndege imehairishwa? Kwa nini treni zinaendelea kupigwa tarehe?
 
I didn’t say that we cannot afford buying electric locomotives. Even the airplanes that we procured touched the Tanzanian soil at their designated time of arrival. Hakukuwa na ubabaishaji. Au umewahi kusikia tarehe ya kupokewa ndege imehairishwa? Kwa nini treni zinaendelea kupigwa tarehe?
Issue kubwa ilikuwa COVID lockdown ndio imesababisha delay
 
Rais leo kawapongeza wale wachezaji walemavu kufuzu kombe la dunia, Ilani ya CCM inasema itajenga uwanja Dodoma. lkn mpka sasa siwaelewi hawa viongozi, mpka leo hawaoni umuhimu wa kujenga viwanja kama vya Mkapa zaid ya viwili au vitatu?

hela ya Boeing moja kubwa inatosha kujenga hata viwanja vitatu, lkn siwaelewi kbsa hawa viongozi hasa Rais hawafikirii kujenga
View attachment 2029643
yaani ni vituko ona jinsi dunia ilivyokuwa ya ajabu
Hayati MKAPA hakuonekana kuwa mtu wa michezo lakini yeye ndiye aliyefanikiwa kujenga uwanja tokea enzi za uhuru

kikwete anaonekana ni mpenda sanaa na michezo kwa ujumla kiasi cha kwamba kwenye awamu yake kulingana na kuonekana anapenda michezo tungetegemea ajenge kiwanja cha michezo hata kimoja,
hayati JPM si mtu wa michezo lakini angalau alionekana akizungumzia ili swala la viwanja na akathubutu tukaona dodoma wakiwa wanaclear ardhi sehemu itajengwa uwanja,pia alikutana na kiongozi wa moroco kwaajili ya hili swala..


SSH,anaact kuwa mpenzi wa michezo kinachoonekana ni kuruka ruka tu hatuoni plan zske
 
It’s December and treni za umeme bado hazijaja?

View attachment 2029920

Serikali imesema uongo kuhusu ujio wa hizi treni kama Mara nne. What’s happening? What’s the actual ETA?
changamoto,hata reli yenyewe bado haijakaa sawa,ngoma bado kidogo tuendelee kusikilizia hawa wakina kadogosa hawapo sure kitaarifa kwenye hizi kazi zao,
ni bora wawe wanakaa kimya,hizi siasa wanazoleta siyo
 
hehehe😆😆😆. uwivu wenu twayajua.. eti sasa hii iwe The Nairobi Hospital.. yani nimecheka yangu yote😆... may be the first photo. lakini baki tu ukijua ni hapo ndipo JPM ulipumua pumzi yake ya mwisho
Why are you even wasting your time with that idiot? Don't you see he's plain desperate?
 
Back
Top Bottom