Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So that's your source? [emoji23]
Muulize Mama Ngina nani aliahidi hivyo, na hiyo picha aliiweka nani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211205-001949.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiku mwema nyie viazi [emoji1648] vya kikunya, kesho tutaendelea na hii mada ya intelligence a.k.a ndege ya siri iliyombeba Magu na iliyopita chini ya ardhi kiasi kwamba hakuna mtu yeyote aliyeona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Accounts zote za wanaharakati wa Tanzania ndio zilitoa fununu kuhusu afya ya Magufuli, msichojua ni kwamba waliondaa huo uvumi ni TISS wenyewe hiyo yote ikiwa ni mbinu ya kuwaandaa Watanzania kisaikolojia

Huwezi kuacha kuwaamini inner TISS informer umuamini Slum dweller wa kaliadudu blogspot

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
na ukimuuliza pilot wa hio ndege atakuambia sisi hatukuona sura yake..lkn tulisikia perfume yake.. na mke wake aliesafir nae hatukuona sura yake maana alijifunika na kilema kuanzia utosini kichwan hadi shingoni
Hilo jamaa taahira sana 🤣🤣🤣🤣 eti kiongozi wa nchi asafiri na private company tena akiwa mahututi 😂😂😂😂

Company yenyewe ka NGO ka misaada kanaitwa Amref 😂😂😂😂😂😂

Yaani wa kunya mmemchukulia local sana Rais, katika ulinzi wa kiongozi mkubwa kama Rais hakuna jambo nyeti kama usafiri, hasa usafiri wa anga, hata akiwa maiti Rais wa nchi hawezi kusafirishwa na huo uchafu unaoitwa Amref

Ni uhuru kunyata tu ndio mwenye hizo guts
 
Huyu ilikuaje nae Amref hawakuja kumchukua? 🤣🤣🤣🤣

Huyu probably alipitishwa chini ya bahari na ndege ya intellectual 😂😂😂😂

Meanwhile kaliadudu bloggers walikosa bundle ya kuruka live 🤣🤣🤣

Screenshot_20211205-052331.png
 
They are building the likes of Nyayo Estate that we built in the 90s. Hawa watu huwa wanasema eti tunawadharau. The truth is that we don't, ni ukweli tu ndio hawapendi kusikia. It's now that they are doing projects that we already did more than 20 years ago and the funny thing is that they are in celebration mode! Very funny to say the least
mtu ambaye hajui kesho atakula nini hawezi kuniambia kitu, pambaneni na njaa kwanza
 
Barabara kali hamna mabanda kuna markings and side walks [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Hii ni lami au masizi.
An equivalent of this in Tanzania is an untarmaced road. Hapo Dar ukishatoka main road hakuna Lami kabisa - hata kwa mitaa ya Kifahari kama Oyster Bay na Mbezi.🚮🚮
 
Back
Top Bottom