songas wana gas processing plant, na gas inayoenda ubungo yote na baadhi kinyerezi inatoka songas.. pia ile plant ya pale ubungo(songas power plant ni mkataba wa maisha PPT... hauna mwisho.. hio plant serikali ina hisa hazizidi 45%).. kama sio huu mkataba hio plant ingefutwa na Magu kama zile IPTL nyingine
so wadau muelewe, pamoja na siasa nying.. Nyerere Hydropower plant ni muhimu sana kuliko hizo gas power plants.. kwenye hio JNHPP hakuna mkono wa mtu mwingine hapo.. ni serikali peke yake yupo.. imagine unauza umeme wote hapo peke yako.. jiulize faida gan kubwa serikali itapata
huwa naonaga mnabishana kuhusu hiv vitu.. na hamjui siasa zilizoko huko ndan