Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tena we maku wee usinitukane mpumbavu wewe, hapo kwenu kuna mradi wa kulinganisha na DOM gov City.? fala nini wewe.??
Mkuu umesha cheza part yako ,ni dhahiri kuwa Tanzania haina mfano tuko vizuri , vingenevyo achana na hawa jamaa wako in denial hawamini Tanzania Iko level nyingine tofaut na ya kwao!
 
Mkuu umesha cheza part yako ,ni dhahiri kuwa Tanzania haina mfano tuko vizuri , vingenevyo achana na hawa jamaa wako in denial hawamini Tanzania Iko level nyingine tofaut na ya kwao!
Dah kweli bro.. 😔😔 nimekua mpole tayari
 
😂😂😂 Kwahiyo hapo kuna nini chaajabu.? We jamaa ni Chizi huwa .. unajisahau kama View attachment 2032438Arusha kuna mpaka skyscrapers, uje ulinganishe na huu upumbavu 😂😂😂😂, sasa nani Kati yetu anazungumzia uzalendo.. famba wewe.. heb linganisha huo uchafu wako .. we jamaa ni famba nini .?
Do you even know the meaning of a skyscraper?
 
ikulu_mawasiliano_1638620553691147.jpg

Oya Don YF njoo hapa ujifunze jambo.. BRT phase 2 is underway..
 
Dah kweli bro.. 😔😔 nimekua mpole tayari
Mkenya ana roho mgumu Katu hawezi kusifia bongo maana wanajua sisi ni threat kubwa kwao!
Tuna mambo mengi unique ambayo tuna lead sio Africa mashariki but Africa nzima!
Despite changa Moto nyingi tunazo kumbana nazo.
We should smile na tumshukuru mungu kwa ardhi yetu Safi na unique!
 
Mkenya ana roho mgumu Katu hawezi kusifia bongo maana wanajua sisi ni threat kubwa kwao!
Tuna mambo mengi unique ambayo tuna lead sio Africa mashariki but Africa nzima!
Despite changa Moto nyingi tunazo kumbana nazo.
We should smile na tumshukuru mungu kwa ardhi yetu Safi na unique!
Ni kweli bro ..
 
What`s there in Dom to brag about? Dom is an overrated version of Isiolo.
Ni kweli hakuna lolote la maana Dom sisi tunaongepea watu tu, ISIOLO ni kubwa nzuri Safi na maendeleo ya kutosha kuliko Dom, Dom Iko na miaka 19 kufika ilipo ISIOLO... 🤝.. nafkiri nimekuridhisha
 
Jana nilikutaka tubishane kwa facts hayo maneno ya B level Ba mtaalamu fundi majumba, na ulikimbia, sikiliza vitu alivyotaja humo ndani halafu tusijadili kisomi, huyo Baba level ni Darasa la Saba B huyo hajui chochote kuhusu chochote, hana exposure, Safar yake ya kwanza kutoka tz ndio kafika hapo NAROW BEE .. tujadili kwa facts sasa ili tuje na majibu ya pamoja.. au tuweke humu Infrastructure zinazo hizo flyover alizozizungumzia tushindane na Madaraja na flyovers zilizopo DSM .. Alaf tuone he ni mji gani uko vizuri ili tumjibu baba level
Ni heri yeye kuliko wewe unatumia afrikan travellers youtube account kujua Nairobi
 
Back
Top Bottom