Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu hii story ya magu tuipumzishe,tusiwape faida hawa jamaa naona Wana Lao lengo kuvuruga na kupotezea mada ya bone marrow transplant 🙂
 
Tanzanians are taken to Nairobi daily for treatment, hakuna siku utapata wakenya wanatkuwa airlifted to Tanzania for treatment.

1638648565428.png
 
Tanzanians are taken to Nairobi daily for treatment, hakuna siku utapata wakenya wanatkuwa airlifted to Tanzania for treatment.

View attachment 2033165
Hakuna huduma ya afya inayofanyika Kenya na haipo Tz ila kuna huduma ya afya inapatikana Tz pekee hapa East and Central Africa,hata ulie huwezi badili huu ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For those asking kama wafanyakazi wa airport hawakuona Magufuli, this is what happens with AMREF. Everything is handled by their professionals away from the public and that`s why you will see their ambulances are readily waiting at the airport so that mgonjwa akiletwa anaingizwa kwa ambulance direct na kupelekwa hospitali.


So if I may ask a question, nani ameona mfanyikazi wa airport hapa?

1638648829657.png
 
😂😂 Uliskiliza vizur taarifa ya msiba na situation aliyokuanayo magufuli hata kifo kilipomkuta.? Wiki mbili kabla taarifa za kifo chake alionekana akimuapisha katibu mkuu kiongozi 👇. baada ya hapo ilifuata taarifa ya kifo chake 👇. Taarifa fupi kabla ya JPM kukumbwa na umauti inasema, Mwamba aliumwa akapelekwa hospitalini, akapata nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani, siku kadhaa baadae alizidiwa tena na hiyo ndio ikawa safari yake ya mwisho ya maisha yake.. yaliyoelezwa yote na serikali ni ukweli mtupu, labda uniambie wew sio timamu (una ugonjwa wa akili) ndio utashindwa kuelewa... NB jitahidi uwe unapata taarifa kutoka kwenye vyanzo vya habari vinavyoaminika, sio kuokota okota tu kwa blogs uchwara au wanasiasa wa hovyo (kina tundu lissu)

Man, death can come anytime any day. Kwani hijawahi ona au kusikia mtu kafa bila kuugua? Na si eti ilikuwa ni ajali?

Magu had a pre-existing condition and I believe you know that.

About those videos, didn't your own Prime Minister deny that Magu was sick, and that he was going about his duties as usual? If your own Prime Minister lied, why then would you want to believe any report coming from your government regarding Magu's health? How sure are you that whatever is being said in that second video is true if the first statement coming from your PM wasn't true?
 
For those asking kama wafanyakazi wa airport hawakuona Magufuli, this is what happens with AMREF. Everything is handled by their professionals away from the public and that`s why you will see their ambulances are readily waiting at the airport so that mgonjwa akiletwa anaingizwa kwa ambulance direct na kupelekwa hospitali.


So if I may ask a question, nani ameona mfanyikazi wa airport hapa?

View attachment 2033169
Kwamba wafanyakazi wa Airpot wanafanya kazi zao kwenye barabara ya ndege au sio, Wakenya hamna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
For those asking kama wafanyakazi wa airport hawakuona Magufuli, this is what happens with AMREF. Everything is handled by their professionals away from the public and that`s why you will see their ambulances are readily waiting at the airport so that mgonjwa akiletwa anaingizwa kwa ambulance direct na kupelekwa hospitali.


So if I may ask a question, nani ameona mfanyikazi wa airport hapa?

View attachment 2033169
Now this is part of the intelligence I was talking about. Mmoja wao kaniuliza Kama aliletwa Nairobi an ndege inaitwa intelligence 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom