😂😂 Uliskiliza vizur taarifa ya msiba na situation aliyokuanayo magufuli hata kifo kilipomkuta.? Wiki mbili kabla taarifa za kifo chake alionekana akimuapisha katibu mkuu kiongozi 👇. baada ya hapo ilifuata taarifa ya kifo chake 👇. Taarifa fupi kabla ya JPM kukumbwa na umauti inasema, Mwamba aliumwa akapelekwa hospitalini, akapata nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani, siku kadhaa baadae alizidiwa tena na hiyo ndio ikawa safari yake ya mwisho ya maisha yake.. yaliyoelezwa yote na serikali ni ukweli mtupu, labda uniambie wew sio timamu (una ugonjwa wa akili) ndio utashindwa kuelewa... NB jitahidi uwe unapata taarifa kutoka kwenye vyanzo vya habari vinavyoaminika, sio kuokota okota tu kwa blogs uchwara au wanasiasa wa hovyo (kina tundu lissu)