Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aafu bikini yao imechanika 😃
Hali halisi ya kunyaland transmission lines 😂😂😂😂😂
images (21).jpeg
images (16).jpeg
 
Man, death can come anytime any day. Kwani hijawahi ona au kusikia mtu kafa bila kuugua? Na si eti ilikuwa ni ajali?

Magu had a pre-existing condition and I believe you know that.

About those videos, didn't your own Prime Minister deny that Magu was sick, and that he was going about his duties as usual? If your own Prime Minister lied, why then would you want to believe any report coming from your government regarding Magu's health? How sure are you that whatever is being said in that second video is true if the first statement coming from your PM wasn't true?
Tuongelee kwanza Magu kuletwa Nairobi alafu nieleweshe kuhusu hyo ndege ya intelligence inabebaje mtu mashuhuri duniani kama Magu pasipo kufahamika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Now this is part of the intelligence I was talking about. Mmoja wao kaniuliza Kama aliletwa Nairobi an ndege inaitwa intelligence
So hiyo intelligence ndiyo hizo gari ambapo zilimbeba kiongozi mashuhuri kwa siri kiasi cha kwamba hata watu hawakuona na ikabaki siri kubwa mpk leo, kwamba hata Airpot hakukuwa na mtu hata mmoja au sio, mnajiona uwezo wenu wa kujenga hoja ulivyo hafifu Wakenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So hiyo intelligence ndiyo hizo gari ambapo zilimbeba kiongozi mashuhuri kwa siri kiasi cha kwamba hata watu hawakuona na ikabaki siri kubwa mpk leo, kwamba hata Airpot hakukuwa na mtu hata mmoja au sio, mnajiona uwezo wenu wa kujenga hoja ulivyo hafifu Wakenya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanavyopenda Sifa eti hata mlinzi alishindwa kutwanga FOTO🤣🤣🤣
 
Man, death can come anytime any day. Kwani hijawahi ona au kusikia mtu kafa bila kuugua? Na si eti ilikuwa ni ajali?

Magu had a pre-existing condition and I believe you know that.

About those videos, didn't your own Prime Minister deny that Magu was sick, and that he was going about his duties as usual? If your own Prime Minister lied, why then would you want to believe any report coming from your government regarding Magu's health? How sure are you that whatever is being said in that second video is true if the first statemet coming from your PM wasn't true?
Umesoma lakini nilichoandoka au umekurupuka kujibu.? ulichoandika ndicho nilichomaanisha, Magufuli alikufa ghafla, na ndio maana naamini maneno ya Kassimu Majaliwa alivyosema kwamba Mwamba yupo busy na majukumu yake, kwasababu JPM hakuwa amelezwa mda wote wa wiki mbili.. kama ni hivyo basi nataka ueleze uongo wa prime minister ulikua wapi hapo.??
 
Nyie ndio wa kwanza kusema Magu ni mgonjwa .? Au unataka kumdanganya nani na Ili iweje, alieleta porojo za Kuumwa kwa Magufuli na kuwa amelazwa NAROW BEE sindio baadae aliedai kuwa Magufuli alisafirishwa tena kuelekea India kimatibabu ? Bwana Lisu.? NDIO mtueleze sasa Magufuli alirudishwa lini kutoka India hata afie NAIROBI, na baada ya hapo alirudishwa tena lini kutoka uko NAIROBI ambako hakuonekana wakati akiingia wala kutoka, na tulimpokeaje then apelekwe mzena hospital..
Na lisu unafikiria aliambiwa na nani na ako belgium?
 
Back
Top Bottom