chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,308
- 45,107
Accounts zote za wanaharakati wa Tanzania ndio zilitoa fununu kuhusu afya ya Magufuli, msichojua ni kwamba waliondaa huo uvumi ni TISS wenyewe hiyo yote ikiwa ni mbinu ya kuwaandaa Watanzania kisaikolojiaHatushobokei Tanzania. Tunawapa tu taarifa ambazo vyombo Vyenu vya habari hawapi. Nitajie chombo Chenu cha habari hata moja iliyotoa hiyo taarifa aliyosema Lissu kuhusu afya ya Magufuli
Huwezi kuacha kuwaamini inner TISS informer umuamini Slum dweller wa kaliadudu blogspot

