Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magufuli died in a Kenyan hospital called Nairobi
Kwamba Magufuli aliletwa hapa
Screenshot_20211201-224947.jpg
Screenshot_20211201-224909.jpg
Screenshot_20211201-224805.jpg
Screenshot_20211201-224829.jpg
Screenshot_20211201-224847.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ishu sio bomba kuwa utilized.. kwenye gas kuna watu baadhi wana chao hapo kwenye hilo bomba.. gas processing!! (mfano ni Songas ambao sio ya serikali)

JNHPP hakuna mtu mwingine yeyote hapo zaid ya serikali peke yake
hivi songas kwa GoT walifanyaga madudu gani?

maana ardhi na gas ni yetu,ila huwa hawalizungumzii hili
 
Imagine magufuli alikosa hospitali za hicho kiwango Tanzania ikabidi aje kunyaland kukufa
Tz ipo level ingine ktk suala la sector ya afya mzee, now tunafanya bone marrow transplant huduma inayopatikana Tz pekee kwa ukanda huu, pia hiyo huduma kwa hapa Afrika inatolewa kwenye nchi 7 pekee mpk hapa tupoongea, so unatia kinyaa unaposema kiongozi wa nchi yenye huduma za afya bora na za kisasa zaidi eti aje kwenye Slum hospital aache Muhimbili which is the biggest and best hospital in East and Central Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi songas kwa GoT walifanyaga madudu gani?

maana ardhi na gas ni yetu,ila huwa hawalizungumzii hili

songas wana gas processing plant, na gas inayoenda ubungo yote na baadhi kinyerezi inatoka songas.. pia ile plant ya pale ubungo(songas power plant ni mkataba wa maisha PPT... hauna mwisho.. hio plant serikali ina hisa hazizidi 45%).. kama sio huu mkataba hio plant ingefutwa na Magu kama zile IPTL nyingine


so wadau muelewe, pamoja na siasa nying.. Nyerere Hydropower plant ni muhimu sana kuliko hizo gas power plants.. kwenye hio JNHPP hakuna mkono wa mtu mwingine hapo.. ni serikali peke yake yupo.. imagine unauza umeme wote hapo peke yako.. jiulize faida gan kubwa serikali itapata

huwa naonaga mnabishana kuhusu hiv vitu.. na hamjui siasa zilizoko huko ndan
 
songas wana gas processing plant, na gas inayoenda ubungo yote na baadhi kinyerezi inatoka songas.. pia ile plant ya pale ubungo(songas power plant ni mkataba wa maisha PPT... hauna mwisho.. hio plant serikali ina hisa hazizidi 45%).. kama sio huu mkataba hio plant ingefutwa na Magu kama zile IPTL nyingine
Nani huyo alijimilikisha nchi akaingia mkataba wa maisha? Unajua hii nchi kuna mambo ukiambiwa yanaweza yakakuharibia cku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikitokea nikapewa urais wa hii nchi angalau kwa masaa 24 tu nakuambia haki ya nani kuna watu nitatoa amri wapigwe chuma hadharani.

Haiwezekani uingie mikataba ya ovyo.

sawa, ni bora umepata huo ufaham.. kwahio gas ya huko mtwara.. kuna majamaa wengine wana mkono wao.. hayupo serikali peke, japo yeye ndo kajenga hilo bomba..
gas power plants iwe option ya mwisho tukishindwa kujenga power plant nyingine.. hujuilizi kwann Magu alitaka tujenge JNHPP na plants za yale makaa ya mawe .. unadhan alikuwa hajui kuna bomba la gas? no alikuwa anajua.. ila kuna vishoka ndan yake.. so akataka kujenga plants ambazo yupo serikali peke yake
 
Back
Top Bottom