Na washafeli tayari, jemedari alituacha pazuri kiasi so ni lazima huu mradi uishe watake wasitake, pia SGR lazima iishe.
Unajua viongozi wengi pale CCM hawako kitaifa kabisa wapo kimaslahi yao binafsi, waligeuza misingi ya CCM kutoka ya kijamaa na kuwa ya kinyonyaji, CCM iligeuka maala pa kuchuma, ss jemedari alikuja kuwakumbusha na walianza kumuelewa kdg but kifo chake kimewasahaulisha misingi wameanza kugombania mali, shida ni kwamba wametukuta Watz wa ss ni modern na tunaojielewa hivyo hawawezi kufanya upuuzi wao waliozoea ama wakilazimisha patachimbika.
Sent using
Jamii Forums mobile app