Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Makunya kwa kuiga hayajambo, yani yanapenda kuiga jambo lolote la Ulaya na US pasipo kuangalia side effects, ona hapa yameiga US hizi sidewalks kuwa katikati, yamesahau kwamba Madereva ya kikunya mengi ni malevi ya chang'aa na maaskari yao ni mazee ya rushwa. Makenya hayana akili.
Screenshot_20211202-224835.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
$106b vs $65b.
Population 47m vs 60m
Land size Tanzania Mara mbili ya Kenya.
Ukitaka kuamini ninachokisema angalia mambo tunayofanya, tunajenga electrified SGR ambayo hakuna nchi yoyote East and Central Africa itajenga kwa kwa miaka 50 ijayo, tunajenga BRT system ambapo inakwenda kuwa mradi wa nchi nzima na hakuna nchi yoyote East and Central Africa itafanya mradi kama huu, tunanunua ndege kwa cash basis na hakuna nchi yoyote East and Central Africa inaweza fanya, tunajenga mji wa kisasa zaidi Afrika kwa pesa za ndani, tunajenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme kwa pesa za ndani, miradi ya maji na mambo kibao ambayo kwenu ni ndoto, bado huamini kwamba GDP yetu ni zaidi ya $110bn?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwawa la nyerere ndiyo mkombozi wa kweli msijidanganye na gesi wanaokwamisha ilo bwawa wanaweza kuwa ni pamoja na wadau wa gesi maana umeme wa ilo bwawa utasababisha mafisadi wa gesi kushindwa kupandisha bei watakavyo kwa sababu watu watatumia umeme kupikia hivyo nyinyi msio elewa siri ya hizi figisu bora mnyamaze kuliko kusema umeme wa maji siyo wa uhakika
Unajua you should view things in diffrent angles .nini umuhimu wakukopa 500 mil usd kujenga Bomba la Gesi la mtwara kama liko underutilized..ni kama vile hatuna plan na tunachotaka kufanya..Mimi am not against JNHpP kuisha ..but energy mix is needed
 
Unajua you should view things in diffrent angles .nini umuhimu wakukopa 500 mil usd kujenga Bomba la Gesi la mtwara kama liko underutilized..ni kama vile hatuna plan na tunachotaka kufanya..Mimi am not against JNHpP kuisha ..but energy mix is needed

ishu sio bomba kuwa utilized.. kwenye gas kuna watu baadhi wana chao hapo kwenye hilo bomba.. gas processing!! (mfano ni Songas ambao sio ya serikali)

JNHPP hakuna mtu mwingine yeyote hapo zaid ya serikali peke yake
 
Deplorable state of KQ pilots. A maximum salary of KES 80k Is a sure sign of a failing economy.

Screenshot_20211203-034709_Opera.jpg
 
Makunya kwa kuiga hayajambo, yani yanapenda kuiga jambo lolote la Ulaya na US pasipo kuangalia side effects, ona hapa yameiga US hizi sidewalks kuwa katikati, yamesahau kwamba Madereva ya kikunya mengi ni malevi ya chang'aa na maaskari yao ni mazee ya rushwa. Makenya hayana akili.View attachment 2030926

Sent using Jamii Forums mobile app
mido income, mido walks , mido kila kitu🤣
 
Ukitaka kuamini ninachokisema angalia mambo tunayofanya, tunajenga electrified SGR ambayo hakuna nchi yoyote East and Central Africa itajenga kwa kwa miaka 50 ijayo, tunajenga BRT system ambapo inakwenda kuwa mradi wa nchi nzima na hakuna nchi yoyote East and Central Africa itafanya mradi kama huu, tunanunua ndege kwa cash basis na hakuna nchi yoyote East and Central Africa inaweza fanya, tunajenga mji wa kisasa zaidi Afrika kwa pesa za ndani, tunajenga bwawa kubwa la kuzalisha umeme kwa pesa za ndani, miradi ya maji na mambo kibao ambayo kwenu ni ndoto, bado huamini kwamba GDP yetu ni zaidi ya $110bn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha nimnukuu Jay Z kwa wimbo wake Tomford anasema, "number don't lie check the scoreboard..." Yani kwa kiswahili sababu najua huelewi kizungu anasema "number hazidanganyi"

$106b vs $65b

Wewe endelea kubishana na upepo. Kila nchi inajenga kitu ata Somalia na south Sudan wanajenga tuu.
 
Back
Top Bottom