The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Ndivyo walivyo viongozi wengi wa kiafrika wamejizoesha mchezo mchafu wa 10% mpk imekuwa kama sheria kwao, mfano mdogo tu kwenye banks wanapambana kuzikuza private banks kama CRDB na nmb kwa kulazimisha mishahara ya watumishi ipitie huko wkt bank ya posta ambayo inamilikiwa na serikali kwa 100% ipo.ishu sio bomba kuwa utilized.. kwenye gas kuna watu baadhi wana chao hapo kwenye hilo bomba.. gas processing!! (mfano ni Songas ambao sio ya serikali)
JNHPP hakuna mtu mwingine yeyote hapo zaid ya serikali peke yake
Sent using Jamii Forums mobile app

vs $65b

your list of wealthy people are mostly arabs and hindus