Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu Sports ground

261783781_1338073163293209_7528780462946779558_n.jpg

Hii barabara si hata ukikojolea mkojo unachimba?
 
Kwanini msitumia maji ya ziwa Victoria Kama sisi tulivyofanya?, Kumbuka Tanzania ni kubwa Sana kuliko Kenya, lakini tumeweza kusambaza maji toka Ziwa Victoria sawa na Umbali unaofika Mombasa na Turkana iweje ninyi mnashindwa?, au kwanini msitumie maji toka Ziwa Turkana?. Tatizo ni uwezo wa viongozi wenu ni mdogo Sana, Kenya itaendelea kudidimia zaidi.
Nishasema hapa maji ya Ziwa Turkana ina chumvi. Inahitaji desalination plant kujengwa kwanza. Na kiwanda hicho ni expensive kujenga.
Halafu kwenye swala la ziwa Victoria, kujenga bomba la 1,000 km ya maji itagharimu pesa nyingi. Nyie bomba lenu ni kilomita ngapi na liligharimu pesa ngapi? Halafu ukigusa maji ya Victoria, Egypt huwa anabweka kama mbwa koko.
 
Huyo ni mwehu kabisa huyo, ndiye anaongoza list ya Wakenya wendawazimu, wanapishana kwa tofauti ya 0.01 na Teargas.
Orodha iko wapi mzee wa leading
Hapa hutoki mzee, ama tupia kibera badi ndio ujiliwaze..

Nasubiria hyo orodha hapa
 
Back
Top Bottom