Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siku hizi huwa siwalaumu Sana. Mineralize shida yenu ni kiingereza. Read your screenshot well, keenly. Employ the dictionary where necessary and do some learning on grammar. You'll understand.
Mama Ngina ndio alikuambia ukijua kingereza unamaliza njaa na ma slums yaliyotapakaa Kenya nzima?
 
Markings, very poorly constructed
Wamepaka chokaa kwa kutumia brush ya ukuta.
emoji1787.png
 
huwez kuitaja kwa kutojua jambo lolote alaf tusikukosoe hata ingekua mji wowote ninaojua mm ukasema uongo tunakurekesbisha tu 😁😁😁 na siku zote usijifanye mjuaji san wakila jambo wakat huna ulijualo hzo ni nidhamu za kihayawani

mm mombasa hunidanganyi na mwanza hunidanganyi hii miji yote miwili mm nimefika nimetembea kindaki ndaki huna chakunielekeza trust me 😀😀😀

hvi ww kenya umetembea mji gani na mji gani hebu tuanzie hapa 😂😂
Uongo ninaosema mimi ni upi? Labda tuanze hapa. Kenya nimeshafika Nairobi na Mombasa. Mombasa nilienda wakati wa nyuma kidogo lakini Nairobi, quite recently. Siwezi sema kuwa mimi ni mwenyeji wa Kenya kama usemavyo wewe; ati umetembea mombasa “kindaki ndaki.” Utembeaji wako unatusaidia nini? Wewe tunafahamu vizuri kuwa Uko biased. Yaani huwezi kusimama kwenye uhalisia. Kitu unachokipa support hata kama hakistahili sifa wewe bado utakipa sifa na huu ni ujinga.

Lengo langu mimi Sio kulinganisha Mwanza na Mombasa, bali ni kuifunua Mwanza ambayo watu kama wewe mnaificha. Uchafu uliopo uonekane wazi wazi ili usafishwe.
 
Do you have any other options?if you priotize desalination plant and its supporting infrastructures nothing is impossible brathe,if tz is building JNHED in rufiji river worth $2.9b why ke shouldn't do the same project as long as it's worth your money?
It is possible, serikali ikiamua kufanya basi itafanyika.
 
Desalination plants are very expensive to build and they consume a lot of power. Not to mention the extra cost of building supporting infrastructure including water pipes built over large distances for water distribution. Desalination plants is a good idea but it is usually something that rich countries do. Nyie maji ya ziwa victoria tayari ni fresh kazi yenu ni kujenga pipes tu. Sisi inabidi tujenge kiwanda cha desalination kwanza hata kabla hatujaanza kujenga pipes. Huoni hio itakuwa expensive?
Kwanini msitumia maji ya ziwa Victoria Kama sisi tulivyofanya?, Kumbuka Tanzania ni kubwa Sana kuliko Kenya, lakini tumeweza kusambaza maji toka Ziwa Victoria sawa na Umbali unaofika Mombasa na Turkana iweje ninyi mnashindwa?, au kwanini msitumie maji toka Ziwa Turkana?. Tatizo ni uwezo wa viongozi wenu ni mdogo Sana, Kenya itaendelea kudidimia zaidi.
 
post then unasubiri nn 2.7m kila nyumba ina watu takariban 10 zingine mpaka 15 then calculate tuone

akili haikai kwenye makende mzee
Unajua maana ya customers mzee
Hata waziri wenu analijua hilo licha ya weye kunengua hapa..

Yani u calculate watu wanaoishi nyumbani, maskini mnenguaji
 
Kwanini msitumia maji ya ziwa Victoria Kama sisi tulivyofanya?, Kumbuka Tanzania ni kubwa Sana kuliko Kenya, lakini tumeweza kusambaza maji toka Ziwa Victoria sawa na Umbali unaofika Mombasa na Turkana iweje ninyi mnashindwa?, au kwanini msitumie maji toka Ziwa Turkana?. Tatizo ni uwezo wa viongozi wenu ni mdogo Sana, Kenya itaendelea kudidimia zaidi.
Viongozi wanafikiria pesa tu, wakisambaza maji kutoka ziwa Victoria au Turkana miradi yao ya maji c itakwama!
 
Siku hizi huwa siwalaumu Sana. Mineralize shida yenu ni kiingereza. Read your screenshot well, keenly. Employ the dictionary where necessary and do some learning on grammar. You'll understand.
Hyo jamaa grammar ndio inamtoa kabisa, yani anatia aibu sna
 
Back
Top Bottom