Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ok, let`s use the limits you have given to find the proportion of the population connected to electricity.

Lower limit 2.7 x 5 = 13.5m people out of 60m
Upper limit 2.7 x10 = 27m people out of 60m

If you look at the proportion of the population with electricity using the limits you have given me it will be like this,

Lower limit; (13.5/60) x 100 = 22%

Upper limit; (27/60) x 100 = 45%


If you find the average of the limits unapata 33.5%


The conclusion here is that only 33.5% of Tanzanians are connected to electricity.
mbona hujapikia avarage ya 15 people au umeona itakukamata 🤣🤣🤣🤣
 
Uongo ninaosema mimi ni upi? Labda tuanze hapa. Kenya nimeshafika Nairobi na Mombasa. Mombasa nilienda wakati wa nyuma kidogo lakini Nairobi, quite recently. Siwezi sema kuwa mimi ni mwenyeji wa Kenya kama usemavyo wewe; ati umetembea mombasa “kindaki ndaki.” Utembeaji wako unatusaidia nini? Wewe tunafahamu vizuri kuwa Uko biased. Yaani huwezi kusimama kwenye uhalisia. Kitu unachokipa support hata kama hakistahili sifa wewe bado utakipa sifa na huu ni ujinga.

Lengo langu mimi Sio kulinganisha Mwanza na Mombasa, bali ni kuifunua Mwanza ambayo watu kama wewe mnaificha. Uchafu uliopo uonekane wazi wazi ili usafishwe.
kama sio mwenyej kenya kwann unabwabeaja bro?? mm nakwambia zungumzia maeneo mengine yote ila ninayoyajua mm huwez nidanganya ww kwanza ukiangalia mpangilio wa streests tu mwanza ni mzuri kuliko mombasa

unaifunua mwanza hali yakua huijui 🤣🤣 juzi nimeona umeishambulia tanga hali yakua huijui pia kwann ujifanye mjuaji wakat hujui kitu chochote

hebu angalia hii ni baadhi ya mitaa ya mwanza alaf zungumza ushuzi wako sasa





 
Unajua maana ya customers mzee
Hata waziri wenu analijua hilo licha ya weye kunengua hapa..

Yani u calculate watu wanaoishi nyumbani, maskini mnenguaji
hapana sijui mzee wa white elephant loss making SGR 😂😂😂😂😂😂
 
Ok, let`s use the limits you have given to find the proportion of the population connected to electricity.

Lower limit 2.7 x 5 = 13.5m people out of 60m
Upper limit 2.7 x10 = 27m people out of 60m

If you look at the proportion of the population with electricity using the limits you have given me it will be like this,

Lower limit; (13.5/60) x 100 = 22%

Upper limit; (27/60) x 100 = 45%


If you find the average of the limits unapata 33.5%


The conclusion here is that only 33.5% of Tanzanians are connected to electricity.
wanaposema rural areas imefika 84% ww unakua unaelewa vp hebu tuanzie hapa 🤣🤣 au ulipoona kwenye barabara umekamatwa ukaamua kubadilisha gear na huku ulipobadilisha gear pia ni pamoto kweli kweli 😁😁

 
IMG_3194.jpg
 
Unajua maana ya customers mzee
Hata waziri wenu analijua hilo licha ya weye kunengua hapa..

Yani u calculate watu wanaoishi nyumbani, maskini mnenguaji
mm sijui nielekeze ww mr white elephant loss making SGR🤣🤣🤣🤣
 
Ok, let`s use the limits you have given to find the proportion of the population connected to electricity.

Lower limit 2.7 x 5 = 13.5m people out of 60m
Upper limit 2.7 x10 = 27m people out of 60m

If you look at the proportion of the population with electricity using the limits you have given me it will be like this,

Lower limit; (13.5/60) x 100 = 22%

Upper limit; (27/60) x 100 = 45%


If you find the average of the limits unapata 33.5%


The conclusion here is that only 33.5% of Tanzanians are connected to electricity.
ulirogwa na nani ndivo hvo statistics hupigwa ???🤣🤣🤣🤣🤣
424C8E02-190C-4466-BCFC-B097C7ECBE8B.jpeg
 
Ok, let`s use the limits you have given to find the proportion of the population connected to electricity.

Lower limit 2.7 x 5 = 13.5m people out of 60m
Upper limit 2.7 x10 = 27m people out of 60m

If you look at the proportion of the population with electricity using the limits you have given me it will be like this,

Lower limit; (13.5/60) x 100 = 22%

Upper limit; (27/60) x 100 = 45%


If you find the average of the limits unapata 33.5%


The conclusion here is that only 33.5% of Tanzanians are connected to electricity.
Average family Tanzania iko na watoto 5
That's 7 people.
Kenya Ni 3+2=5
 
Kenya inaconsume more than 2,000 MW ya umeme wakati watu ambao hawapo ligi yetu ila wanataka tushindane wanaconsume 1,400 MW. ichoboy01 na joto la jiwe msilazimishe the ligi ilhali hayupo ligi yenu.



 
Back
Top Bottom