komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Naona umeshatatizika tayari, kaeneo kamoja tayari ushapagawaRoad moja tu kudadadeki, hapo yakitoea maafa mtakufa kama kuku![]()


Naona umeshatatizika tayari, kaeneo kamoja tayari ushapagawaRoad moja tu kudadadeki, hapo yakitoea maafa mtakufa kama kuku![]()


Anasahau Kongowea huyoMbona kilio mzee
Leo umekubali km mombasa ina old town, ulimskia nani akilalamikia bus stage..
Alafu eti mji hauna soko within town..
Yani jamaa muongo sana, haya yote ni vile mombasa inakuumiza
Nani vile alikataa Mombasa hakuna vumbi












Hivi ahadi ya mabwawa haikuwepo kwenye campaign?Kwa hivyo kama kuna ukame inamaanisha kwamba hatukusanyi pesa nyingi kuwashinda?
Mabwawa kwani unadhani huko kuna mito? Au una-assume kwamba kuna mito kila mahali Kenya. Kenya ni nchi kame sio kama huko kwenu nchi ya asali na maziwa. Mnapata mvua kila siku. Bwawa linaweza kujengwa tu mahali ambapo kuna mito ila asilimia kubwa ya kaskazini mwa Kenya hakuna mito kabisa na pia hakuna ziwa wala kiini chochote cha maji. Maji wanayotumia ni ya borehole pekee na pengine springs (yaani maeneo yenye mashimo madogo yenye maji machache). Boreholes na springs pia huwa yana matatizo yake ikiwemo kukauka. Boreholes na springs au oases huwa zinakauka baada ya muda fulani. Borehole pia inaweza kuwa na maji ya chumvi na maji hiyo haiwezi kutumika katika kupika chakula au kunywa maji kwa binadamu au mifugo. Kaskazini mwa Kenya ni mahali ambapo Mwenyezi Mungu pengine alisahau kabisa kuwapa vyanzo vya maji. Sio kwamba wao ni watu lazy, hawataki kufanya kazi. Unakuta mtu ana bidii ya mchwa na ni mfugaji hodari ana ng'ombe mia moja ila ukame ukija, anapoteza ng'ombe wake wote. Mtu kama huyu sio mtu wa kumcheka bali ni mtu wa kumhurumia. Hawana vyanzo vya maji kabisa. Kwa hivyo ukiona wanapata matatizo ya njaa na ukame ni kwa sababu mazingira hayo ni mabaya sana. Kuna joto na jua kali sana hata kama kungekuwa na mto, basi maji ya mto huo yangeyeyuka. The water in the river would have evaporated. Kwa hivyo tatizo hili la ukame na njaa ni tatizo la mazingira yaani climate ya huko sio nzuri kwa kutunza maji. Maji yanayeyuka. Kwa hivyo bwawa haliwezi kujengwa huko maana hakuna mito. Suluhisho ni kuchimba boreholes zaidi. Hakuna suluhisho nyingine. Hawa sio watu wa kuwacheka kama Wabongo mnavyopenda kufanya, hawa ni watu wanaostahili huruma na msaada. Tanzanians should have empathy on these people instead of laughing at them. Sio kupenda kwao kwamba walizaliwa maeneo hayo.Hivi ahadi ya mabwawa haikuwepo kwenye campaign?
Hawa jamaa wakisikia Tanzania wanakuwa waoga kama wanakimbia kivuli chao ndio maana kila siku kuongeza sifuri kwenye GDP lakini ukija kwenye ground majanga. Kujenga 5kn reli tuu ya MGR ni mpaka mkopo sijui nani kawaloga hawa na hivi mchina anapoanza kuvuta madeni yake sijui wataficha wapi aibu yao.tanzania ndio iko kwenye akili yao
Duh hii kama gaza
Lakini humu ndani kuna wenzako walisema kuwa yako mabwawa mengi yanajengwa tena makubwa kuliko Julius Nyerere Hydroelectric Dam sasa nikawa najiuliza hii shida ya maji si itaisha na umwagiliaji utasaidia kuondokana na baa la njaa. About empathy; I like any other responsible person I really feel their pain and I morally support them to persevere during these difficult times.Mabwawa kwani unadhani huko kuna mito? Au una-assume kwamba kuna mito kila mahali Kenya. Kenya ni nchi kame sio kama huko kwenu nchi ya asali na maziwa. Mnapata mvua kila siku. Bwawa linaweza kujengwa tu mahali ambapo kuna mito ila asilimia kubwa ya kaskazini mwa Kenya hakuna mito kabisa na pia hakuna ziwa wala kiini chochote cha maji. Maji wanayotumia ni ya borehole pekee na pengine springs (yaani maeneo yenye mashimo madogo yenye maji machache). Boreholes na springs pia huwa yana matatizo yake ikiwemo kukauka. Boreholes na springs au oases huwa zinakauka baada ya muda fulani. Borehole pia inaweza kuwa na maji ya chumvi na maji hiyo haiwezi kutumika katika kupika chakula au kunywa maji kwa binadamu au mifugo. Kaskazini mwa Kenya ni mahali ambapo Mwenyezi Mungu pengine alisahau kabisa kuwapa vyanzo vya maji. Sio kwamba wao ni watu lazy, hawataki kufanya kazi. Unakuta mtu ana bidii ya mchwa na ni mfugaji hodari ana ng'ombe mia moja ila ukame ukija, anapoteza ng'ombe wake wote. Mtu kama huyu sio mtu wa kumcheka bali ni mtu wa kumhurumia. Hawana vyanzo vya maji kabisa. Kwa hivyo ukiona wanapata matatizo ya njaa na ukame ni kwa sababu mazingira hayo ni mabaya sana. Kuna joto na jua kali sana hata kama kungekuwa na mto, basi maji ya mto huo yangeyeyuka. The water in the river would have evaporated. Kwa hivyo tatizo hili la ukame na njaa ni tatizo la mazingira yaani climate ya huko sio nzuri kwa kutunza maji. Maji yanayeyuka. Kwa hivyo bwawa haliwezi kujengwa huko maana hakuna mito. Suluhisho ni kuchimba boreholes zaidi. Hakuna suluhisho nyingine. Hawa sio watu wa kuwacheka kama Wabongo mnavyopenda kufanya, hawa ni watu wanaostahili huruma na msaada. Tanzanians should have empathy on these people instead of laughing at them. Sio kupenda kwao kwamba walizaliwa maeneo hayo.
cc ichoboy01
joto la jiwe
Hivi what is the status of Lake Turkana? Cant water be drawn from that lake for distribution to the surrounding communities just as in the case water was drawn from lake Victoria and pumped to Shinyanga Mwanza and Tabora and yet there are also plans to extend this distribution to other regions such as Singida and Dodoma.Mabwawa kwani unadhani huko kuna mito? Au una-assume kwamba kuna mito kila mahali Kenya. Kenya ni nchi kame sio kama huko kwenu nchi ya asali na maziwa. Mnapata mvua kila siku. Bwawa linaweza kujengwa tu mahali ambapo kuna mito ila asilimia kubwa ya kaskazini mwa Kenya hakuna mito kabisa na pia hakuna ziwa wala kiini chochote cha maji. Maji wanayotumia ni ya borehole pekee na pengine springs (yaani maeneo yenye mashimo madogo yenye maji machache). Boreholes na springs pia huwa yana matatizo yake ikiwemo kukauka. Boreholes na springs au oases huwa zinakauka baada ya muda fulani. Borehole pia inaweza kuwa na maji ya chumvi na maji hiyo haiwezi kutumika katika kupika chakula au kunywa maji kwa binadamu au mifugo. Kaskazini mwa Kenya ni mahali ambapo Mwenyezi Mungu pengine alisahau kabisa kuwapa vyanzo vya maji. Sio kwamba wao ni watu lazy, hawataki kufanya kazi. Unakuta mtu ana bidii ya mchwa na ni mfugaji hodari ana ng'ombe mia moja ila ukame ukija, anapoteza ng'ombe wake wote. Mtu kama huyu sio mtu wa kumcheka bali ni mtu wa kumhurumia. Hawana vyanzo vya maji kabisa. Kwa hivyo ukiona wanapata matatizo ya njaa na ukame ni kwa sababu mazingira hayo ni mabaya sana. Kuna joto na jua kali sana hata kama kungekuwa na mto, basi maji ya mto huo yangeyeyuka. The water in the river would have evaporated. Kwa hivyo tatizo hili la ukame na njaa ni tatizo la mazingira yaani climate ya huko sio nzuri kwa kutunza maji. Maji yanayeyuka. Kwa hivyo bwawa haliwezi kujengwa huko maana hakuna mito. Suluhisho ni kuchimba boreholes zaidi. Hakuna suluhisho nyingine. Hawa sio watu wa kuwacheka kama Wabongo mnavyopenda kufanya, hawa ni watu wanaostahili huruma na msaada. Tanzanians should have empathy on these people instead of laughing at them. Sio kupenda kwao kwamba walizaliwa maeneo hayo.
cc ichoboy01
joto la jiwe
mm utanichukia bure budaa


I like the phrase "Thomas and friends" railway cartoon 



Lake Turkana ina maji ya chumvi. Maji hii haiwezi kutumika katika upishi au kunywa maji kwa binadamu wala mifugo. Eneo nzima ya Northern na North East Kenya haina ziwa hata moja yenye fresh water. Hakuna hata moja.Hivi what is the status of Lake Turkana? Cant water be drawn from that lake for distribution to the surrounding communities just as in the case water was drawn from lake Victoria and pumped to Shinyanga Mwanza and Tabora and yet there are also plans to extend this distribution to other regions such as Singida and Dodoma.
😂😂😂😂😂 Wakenya mpo wapi? Kama nawaona jinsi mnavyosakura backfire 😂😂😂 kwenye hili wala msijisumbue sababu hamna huo uchumi wa kusomesha first world's universities 👌
Off to Turkey for University
mbona hujauliza who is citizen tv kenya🤣🤣Who is julius
Alafu mbona km unakwepa swali langu, unajua revenue ni nini mjomba
gaza ina nafuu manake wana social services zote 😂😂😂😂 wao maji hawana hospitali hazipoDuh hii kama gaza
Revenue generated from the standard gauge railway (SGR) rose 25 percent in the seven months to July, driven by increased imports. Latest data from the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) shows that revenues rose to Sh9. 08 billion from Sh7. 2 billion in similar period last year.21 Sept 2021mbona hujauliza who is citizen tv kenya

