Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jnia T2
20211129_155126.jpg
20211129_155154.jpg
 
Revenue generated from the standard gauge railway (SGR) rose 25 percent in the seven months to July, driven by increased imports. Latest data from the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) shows that revenues rose to Sh9. 08 billion from Sh7. 2 billion in similar period last year.21 Sept 2021

Punguza presha mnenguaji
🤣🤣🤣👇👇👇👇👇👇

 
kwan loss maana yake nini??? au ww unaona hawa wajinga ???

Hehehe!!mbona unateseka mzee
Ya 2020 hyo 3rd quater
Revenue generated from the standard gauge railway (SGR) rose 25 percent in the seven months to July, driven by increased imports. Latest data from the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) shows that revenues rose to Sh9. 08 billion from Sh7. 2 billion in similar period last year.21 Sept 2021


Pole sana
 
Kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema wanafunzi wa Tanzania wanategemea vyuo vyenu kupata elimu bora, kuanzia leo ni marufuku wakenya kusema mna wanafunzi wengi abroad kuliko Tanzania

Tanzania inaongoza Africa kwa kuwa na wanafunzi wengi kwenye international universities worldwide

Therefore ni marufuku Kenya kujilinganisha na Tanzania kiuchumi and social standards of life
Uko sure hapa mnawezana na wakenya, fungua thread uone
 
Hii ni miradi ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege inayotekelezwa maeneo mbalimbali nchini Tz,miradi hii asilimia 99% ni ile iliosainiwa chini ya uongozi wa mh JPM katika awamu yake ya tano...numbers dont lie mazee...
Unaweza hesabu kms na kiasi kikubwa cha fedha kinachotumika hapo...pia status ya miradi mingi inakaribia kukamilika...
Chanzo cha taarifa hii ni website ya tanroad
Screenshot_20211129-170756_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20211129-170807_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20211129-170820_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20211129-170825_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20211129-170836_Samsung%20Internet.jpg
Screenshot_20211129-170845_Samsung%20Internet.jpg
 
Hii ni miradi ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege inayotekelezwa maeneo mbalimbali nchini Tz,miradi hii asilimia 99% ni ile iliosainiwa chini ya uongozi wa mh JPM katika awamu yake ya tano...numbers dont lie mazee...
Unaweza hesabu kms na kiasi kikubwa cha fedha kinachotumika hapo...pia status ya miradi mingi inakaribia kukamilika...
Chanzo cha taarifa hii ni website ya tanroad View attachment 2027171View attachment 2027172View attachment 2027173View attachment 2027175View attachment 2027176View attachment 2027177
Duh simchezo aisee.
 
dah asante sana Azam. Napenda sana Azam anavyojitolea kuiibua mashindano mbalimbali. Bila Azam mashindano mengi tungekuwa bado tunalala


Azam huyuhuyu kaibua Boxing, Cars Racing, Football (kaipandisha sana thaman) etc
 
Hii ni miradi ya barabara,madaraja na viwanja vya ndege inayotekelezwa maeneo mbalimbali nchini Tz,miradi hii asilimia 99% ni ile iliosainiwa chini ya uongozi wa mh JPM katika awamu yake ya tano...numbers dont lie mazee...
Unaweza hesabu kms na kiasi kikubwa cha fedha kinachotumika hapo...pia status ya miradi mingi inakaribia kukamilika...
Chanzo cha taarifa hii ni website ya tanroad View attachment 2027171View attachment 2027172View attachment 2027173View attachment 2027175View attachment 2027176View attachment 2027177
Hapo roughly nimepata km 2,296.75 na kuna zingine kibao length haijawekwa ila ziko u/c, pia kuna zingine hazijawekwa kabisa, kwakweli huyu mzee kazi kaifanya.
 
Lake Turkana ina maji ya chumvi. Maji hii haiwezi kutumika katika upishi au kunywa maji kwa binadamu wala mifugo. Eneo nzima ya Northern na North East Kenya haina ziwa hata moja yenye fresh water. Hakuna hata moja.

Cc ichoboy01
joto la jiwe
Then it is high time for Kenyan Government to start ramping up efforts for construction of desalination plants if that is a feasible alternative to perennial catastrophes.
 
sisi hatutaki porojo tunataka utuoneshe 70% ya makazi mwanza ni unplanned settlement na ukithibitisha mm nafunga acc jamii forum mark my words😂😂😂😂

tatizo lako ww unajifanya kila kitu unakijua na mbaya zaidi nakwambia tena mwanza ni miongoni mwa cities in tanzania ambazo ziko well planned hata ukikasirika haitasaidia

na ukiachilia hayo pamoja na mwanza kuzungukwa na milima still mombasa haitaifikia mwanza kwenye suburb hio nakuandikia 😁😁😁😁😁
Ni vigumu Kwa mwenyeji wa Mwanza kama wewe kusikia watu wengine wakitaja kuwa mji wako hauko vizuri kwenye nyanja kadha wa kadha. Weka bias yako pembeni na tazama uozo uliopo Mwanza. And it’s not about petty competitions because Mwanza still loses to Mombasa in many fields. It’s about doing what’s right: criticizing the authorities responsible for urban planning in Tanzania. Kama unaona kuwa Mwanza imepangwa then inabidi utoke nje uone miji mingine. Mnakaa kwenye bubble yenu mkiamini kuwa you’re the best kumbe Hamna lolote!
 
Watanzania wengi ndio hawaijui Kenya mmoja wao ni mm apa ckuwa naijua kenya kabisa kabla ya kuingia humu. Hata nchi zingine mfano Zambia zinaijua tu Tz na co Kenya, huo ndio ukweli kama unachukia wewe chukia ila ukweli nimekwambia
Wala hujakosea 😅😅😅 angalia hii video ucheke kidogo

99% ya Malawians hawajawahi kusikia neno Kenya maisha yao yote wala ipo upande upi wa kuzimu 😅😅😅



Meanwhile 70% ya Malawians wanataka kuja kuishi Tanzania 😅😅😅

 
Back
Top Bottom