Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Wameogopa hata kuniquote kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wakenya waishukuru sana jf, imewaondoa tongotongo nyingi sana kuhusu Tanzania, walikua na Tanzania ya ajabu sana kwenye mindsets zao walizoaminishwa na wazee wao for decades

Hawaamini wanavyoshuhudia kumbe Tanzania tumewapita almost kwenye kila nyanja na hawawezi kutufikia Leo wala kesho lakini tupo cool like we got nothing πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wameogopa hata kuniquote kabisa

Wakenya waishukuru sana jf, imewaondoa tongotongo nyingi sana kuhusu Tanzania, walikua na Tanzania ya ajabu sana kwenye mindsets zao walizoaminishwa na wazee wao for decades

Hawaamini wanavyoshuhudia kumbe Tanzania tumewapita almost kwenye kila nyanja na hawawezi kutufikia Leo wala kesho lakini tupo cool like we got nothing
Me nakwambia kukosa JF wangeendelea kuwa wajinga, kwa mfano ss hivi huwezi ona wakitoa majina ya ajabu ajabu kwa infrastructures zao cjui the super bridge, most beautiful road cjui nn nn, hawatafanya hivyo tena mana kupitia JF wanaona jinsi infrastructures quality and modern zinajengwa so waki compare na zao wanaona aibu hata kuongea.
 
Achana na videos zinazoonyesha nyuma ya CBD tena kwa mbali kabisa, hizo picha umeweka humu zimepigwa kutokea ofisi za mabasi Nata.. chukua hii inayoonyesha sura ya NWANZA CBD, pita humu mzee Walker .. πŸ‘‡. Inaonekana wewe kwa Mwanza ni mpita njia tu huijui hata.. Owky endelea kuiona Mwanza πŸ‘‡. Pitia na humu πŸ‘‡. Unajifurahiisha unavyozungumzia masuala ya siting plan halafu unaipigia mfano kenya unasahau kwamba hii πŸ‘‡ni mobasaView attachment 2026690kenyan's second largest city . Hii tofauti na Mwanza kuwa ni mji uliopo kwenye mawe, kuna sitting plan hapa mombasa.? Naona unapiga piga kelele kuhusu makazi ya Mwanza.. kwakua uliitolea Kenya mfano ngoja na mimi nikutolee mfano haya ni makazi duni ya watu wa Mombasa πŸ‘‡. Halafu njoo ujifunze kuhusu nyumba zilizopo juu ya milima za hali duni na za kitajiri πŸ‘‡. Halafu nataka utoe maoni yako kati ya mombasa na Mwanza wapi wako na nafuu, na kama jibu ni Mwanza then usitupigie kelele na kututolea mifano ya kenya .. njooni wewe Nicxie pamoja na Tony254 mjifunze hapa ..

Usiweke maneno kinywani mwangu. Nimelinganisha planning ya Mwanza na Mombasa lini?

Mombasa is an old city. Hiyo planning ya Mombasa ni ya kale. Tazama planning ya Stone Town, Zanzibar au posta ya Zamani na utaona vibes zinafanana na old city ya Mombasa. Japokuwa sizungumzii sehemu zote za Mombasa, Maeneo ya kale yanapaswa kuheshimiwa kwasababu yanabeba umuhimu wa kihistoria. Lakini Mwanza haina maeneo kama hayo. Sana sana ni majengo machache yaliyojengwa miaka ya early to mid 1900s na wafanyabiashara wa Kihindi. Unfortunately, 70% of Mwanza is unplanned and we have no valid excuse!

And finally, Kama unataka my HONEST and BRUTAL opinion regarding Mwanza Vs Mombasa, I think Mombasa wins. Mombasa is more vibrant, cosmopolitan, richer, and there are many more fun things to do in Mombasa than in Mwanza.

Mwanza would need step up its game if it were to compete with Mombasa. A good place to start is attracting tourists by building man made tourist attractions! And this entails building an attractive, well planned city!
 
Me nakwambia kukosa JF wangeendelea kuwa wajinga, kwa mfano ss hivi huwezi ona wakitoa majina ya ajabu ajabu kwa infrastructures zao cjui the super bridge, most beautiful road cjui nn nn, hawatafanya hivyo tena mana kupitia JF wanaona jinsi infrastructures quality and modern zinajengwa so waki compare na zao wanaona aibu hata kuongea.
Naona hata hekaya za GDP saivi ni kama wanaziplay low tofauti na awali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Sababu wanaona wana GDP almost double yetu lakini kwa ground wanapokea kichapo

Tukija kwenye social life ndio wapo hovyo kichizi, maisha ya kawaida ya mkenya bado ni duni mno ukimlinganisha na mtanzania

Ukiangalia hata kwenye hizo video za wanafunzi wanaoenda abroad kusoma ni wa maisha ya kawaida tu na most of them wanatoka mikoani kama Shinyanga, Tabora, Morogoro, Kilimanjaro, Mbeya, Tanga etc sio kwenye majiji makubwa

Tofauti na Kenya kuona wakazi wa kilifi, turkana, wajiir na counties za pembezoni wenye uwezo wa their counterparts wakenya wana mengi ya kujifunza kutoka Tanzania hasa kwenye usawa wa hali za maisha, ukiondoa Nairobi huko kwengine hata lami hawajui inafafanaje
 
hio down town mwanza na sio CBd usivhanganye mboga na ugali mwanza ww huijui na hili nakwambia in out πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

CBD hii hapa πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Unafahamu Maana ya Downtown na CBD au Unaongea tu? Downtown na CBD are used interchangeably! Ni maneno tofauti yenye Maana Sawa. Neno Downtown sana sana hutumika North America lakini. Fanya research kabla ya kujenga argument yako. Otherwise utaaibika!
 
Ombaomba wate africa wanaitambua kenya kuwa ni Hija kwao kwanza mtume wa maomba omba wote ni uhuru kenyatta ndiyo mtume wao hivyo ombaomba hakiwa kenya ujue yupo hija anahiji
Haaaahaaaa
 
Usiweke maneno kinywani mwangu. Nimelinganisha planning ya Mwanza na Mombasa lini?

Mombasa is an old city. Hiyo planning ya Mombasa ni ya kale. Tazama planning ya Stone Town, Zanzibar au posta ya Zamani na utaona vibes zinafanana na old city ya Mombasa. Japokuwa sizungumzii sehemu zote za Mombasa, Maeneo ya kale yanapaswa kuheshimiwa kwasababu yanabeba umuhimu wa kihistoria. Lakini Mwanza haina maeneo kama hayo. Sana sana ni majengo machache yaliyojengwa miaka ya early to mid 1900s na wafanyabiashara wa Kihindi. Unfortunately, 70% of Mwanza is unplanned and we have no valid excuse!

And finally, Kama unataka my HONEST and BRUTAL opinion regarding Mwanza Vs Mombasa, I think Mombasa wins. Mombasa is more vibrant, cosmopolitan, richer, and there are many more fun things to do in Mombasa than in Mwanza.

Mwanza would need step up its game if it were to compete with Mombasa. A good place to start is attracting tourists by building man made tourist attractions! And this entails building an attractive, well planned city!
You're very smart.


You forgot to tell him he showed videos of high end neighborhoods in Mwanza and compared them to low class neighborhoods in Mombasa. That's stupid of him.
 
Unafahamu Maana ya Downtown na CBD au Unaongea tu? Downtown na CBD are used interchangeably! Ni maneno tofauti yenye Maana Sawa. Neno Downtown sana sana hutumika North America lakini. Fanya research kabla ya kujenga argument yako. Otherwise utaaibika!
🀣🀣
 
Unafahamu Maana ya Downtown na CBD au Unaongea tu? Downtown na CBD are used interchangeably! Ni maneno tofauti yenye Maana Sawa. Neno Downtown sana sana hutumika North America lakini. Fanya research kabla ya kujenga argument yako. Otherwise utaaibika!
mm sijui nifundishe wewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ alaf ww ndio unajitapa unaijua mwanza bro nakueleza kwa lugha fasaha ya kiswahili ukitaka kuina CBD ya mwanza hii video iwe rafiki yako
 
old town kuna nyumba za udongo na gorofa za udongo mpaka kiyama na ndio ushuzi uliojaa mombasa mji hauna bus stage, mji hauna maji, mji hauna soko within town, mji mchafu balaa, mji haina public transportation inayoeleweka
Mbona kilio mzee
Leo umekubali km mombasa ina old town, ulimskia nani akilalamikia bus stage..
Alafu eti mji hauna soko within town..
Yani jamaa muongo sana, haya yote ni vile mombasa inakuumiza
 
Usiweke maneno kinywani mwangu. Nimelinganisha planning ya Mwanza na Mombasa lini?

Mombasa is an old city. Hiyo planning ya Mombasa ni ya kale. Tazama planning ya Stone Town, Zanzibar au posta ya Zamani na utaona vibes zinafanana na old city ya Mombasa. Japokuwa sizungumzii sehemu zote za Mombasa, Maeneo ya kale yanapaswa kuheshimiwa kwasababu yanabeba umuhimu wa kihistoria. Lakini Mwanza haina maeneo kama hayo. Sana sana ni majengo machache yaliyojengwa miaka ya early to mid 1900s na wafanyabiashara wa Kihindi. Unfortunately, 70% of Mwanza is unplanned and we have no valid excuse!

And finally, Kama unataka my HONEST and BRUTAL opinion regarding Mwanza Vs Mombasa, I think Mombasa wins. Mombasa is more vibrant, cosmopolitan, richer, and there are many more fun things to do in Mombasa than in Mwanza.

Mwanza would need step up its game if it were to compete with Mombasa. A good place to start is attracting tourists by building man made tourist attractions! And this entails building an attractive, well planned city!
sisi hatutaki porojo tunataka utuoneshe 70% ya makazi mwanza ni unplanned settlement na ukithibitisha mm nafunga acc jamii forum mark my wordsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

tatizo lako ww unajifanya kila kitu unakijua na mbaya zaidi nakwambia tena mwanza ni miongoni mwa cities in tanzania ambazo ziko well planned hata ukikasirika haitasaidia

na ukiachilia hayo pamoja na mwanza kuzungukwa na milima still mombasa haitaifikia mwanza kwenye suburb hio nakuandikia 😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom